hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahahaaaHahaha, liibe mkuu kama mtu hajakaa ndani mwezi mzima akinya hukohuko, kula hukohuko na mambo mengine hukohuko [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaaHahaha, liibe mkuu kama mtu hajakaa ndani mwezi mzima akinya hukohuko, kula hukohuko na mambo mengine hukohuko [emoji23]
Hahaha,zipo dada!Uwiiii Kaka.
Na hizo zipo eeee?
Duuh.Hahaha,zipo dada!
Siku hizi wameturahisishia mambo kweli yaani!
Ndio hivyo dada,Duuh.
Kweli Mchina ni balaaa kaka.
Ushtukia uko ghetto ,dahSasa hivi inabidi tuwe tunakagua kama ni laukweli ndio mzigo uliwe , hii mambo ya hivi tunaweza kula mfupa mtupu tukidhani ni mmofu
Salute Hajar, mwanamke kujiamini eeh? Big up sanaHahahaa. Ziwezi trai hii kitu kwani huwa najikubali kwa jinsi nilivyo Sesten.
😀😀Hahaaa watu wengine bwana " yaani mpaka viungo vya Mwili wanavifanyia copy and paste
Namtimua aiseeeUshtukia uko ghetto ,dah
Watakuja kuleta hadi "naniliu" za plastic, yajayo yanaogopesha!Duuh.
Kweli Mchina ni balaaa kaka.
Ndio mwanamke kujiamini Sesten.Salute Hajar, mwanamke kujiamini eeh? Big up sana
Unadhani Sesten inawezekana pia sababu wameshajua jinsi wanawake tunavyopenda kuhangaika.Watakuja kuleta hadi "naniliu" za plastic, yajayo yanaogopesha!
Hao wachina mbona wenyewe hawaweki booty za bandia hasa ukizingatia maumbo yao au wanaume wao huwapenda kama walivyo?Unadhani Sesten inawezekana pia sababu wameshajua jinsi wanawake tunavyopenda kuhangaika.
Ndio hapo sasa Sesten.Hao wachina mbona wenyewe hawaweki booty za bandia hasa ukizingatia maumbo yao au wanaume wao huwapenda kama walivyo?
Ila muda si mrefu itakuja na huku zile oparation za kurekebisha maumbile na waafrika tusivojitambua watu watachangamkia sana mambo hayoNdio hapo sasa Sesten.
Kumbe nawewe umo,,,,mtuvumilie tu ,tunavaa hivo ili tupendeze wenyewe na siyo kuwatesa nyie huhuuu