Jirani kalisahau wowowo lake nje

Ama kweli kila king'aacho si dhahabu, yaani siku zote shingo zetu zinaumia kumbe ni kitu cha mchina! Wanawake nyie Mungu Anawaona mjue😱😵🙁
 
Ama kweli kila king'aacho si dhahabu, yaani siku zote shingo zetu zinaumia kumbe ni kitu cha mchina! Wanawake nyie Mungu Anawaona mjue😱😵🙁
Hahahaaa. Poleeni.

Si wanafuata upepo unapovuma. Kama umevumia kwenye mizigo wafanyeje. Acheni tu muumie kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…