Jirani kaniudhi sana siku ya Jumamosi

Jirani kaniudhi sana siku ya Jumamosi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo mwamba akaona hapa hapa. Tena kuku wa kienyeji atampata wapi tena huyo kuku siku nyingine.
 
Kidali ndo kinini?
Ushawahi kuona kuku wale wanaouzwa kwenye sehemu za chips si huwa wanakatwa aidha nusu au robo. Sasa katika nusu kuna ile robo inayobeba shingo na kipapatio na ile robo inayobeba kiupaja tu.

Ile robo ya kipapatio na kaubavu kote kale ndio kidali. Inakuwa na nyama nyingi kuliko upajani kwa kuku wa kienyeji au kuku wa kisasa aliyekaa bandani kwa zaidi ya wiki nne. Ila kwa kuku wa kisasa huwa ile robo ya upaja ndio yenye nyama zaidi.
 
Ukiona unaumizwa roho na mtu kula chakula chako basi elewa umefikia level mbaya sana ya umaskini wa nafsi ambao unaendena moja kwa moja na uchawi.
Haujaelewa jamaa amemuandalia mgeni wake akitaka afurahie chakula kizuri. Huyu jirani alitakiwa kuwa mstaarabu na muelewa kwenye hii scenario na kukausha sababu mgeni alikuwa anajaribu kuwa mkarimu tu kwa wenyeji/majirani ambao hawajui.

Hivi umeshawahi kwenda kwa mtu unakuta ndio wanaandaa msosi muda huo huo, sasa pale huwa kwa mtu akiyestaarabika unatafuta gear ya kuondokea ili uepuke msala wa kuvunga.

Ndio maana kwa mtu ambaye amestaarabika ukitaka kula kwa mtu nenda mapema sana. Ili akiwa anaandaa chakula na wewe akupigie hesabu na kama unaona hii ni mida ya lunch basi nenda sehemu vunga kidogo au ikibidi kula hata chakula kabisa uende umeshiba ili hata ukifika ukute ndio wanamalizia kula na ukisema umeshiba itokee moyoni ila sio kuvunga na unanjaa binadamu tumeumbwa na aibu utabainika tu kuwa una njaa ila unazuga.

So kama unataka kushiriki chakula nenda kuanzia mida ya saa tano au sita kasoro mida ya lunch ila kama hautaki kushiriki nenda mida kati ya saa tisa hadi saa kumi na mbili.
 
Haujaelewa jamaa amemuandalia mgeni wake akitaka afurahie chakula kizuri. Huyu jirani alitakiwa kuwa mstaarabu na muelewa kwenye hii scenario na kukausha sababu mgeni alikuwa anajaribu kuwa mkarimu tu kwa wenyeji/majirani ambao hawajui.

Hivi umeshawahi kwenda kwa mtu unakuta ndio wanaandaa msosi muda huo huo, sasa pale huwa kwa mtu akiyestaarabika unatafuta gear ya kuondokea ili uepuke msala wa kuvunga.

Ndio maana kwa mtu ambaye amestaarabika ukitaka kula kwa mtu nenda mapema sana. Ili akiwa anaandaa chakula na wewe akupigie hesabu na kama unaona hii ni mida ya lunch basi nenda sehemu vunga kidogo au ikibidi kula hata chakula kabisa uende umeshiba ili hata ukifika ukute ndio wanamalizia kula na ukisema umeshiba itokee moyoni ila sio kuvunga na unanjaa binadamu tumeumbwa na aibu utabainika tu kuwa una njaa ila unazuga.

So kama unataka kushiriki chakula nenda kuanzia mida ya saa tano au sita kasoro mida ya lunch ila kama hautaki kushiriki nenda mida kati ya saa tisa hadi saa kumi na mbili.
Chakula ni cha mgeni, mgeni kamualika jirani, jirani kachukua kipande. Sasa ndio mtu ughadhibike kiasi cha kumfokea jirani na kuandika uzi kabisa.

Hayo yote yanabeba ishara moja tu, kuwa muandika uzi ni mchoyo aliekubuhu. Chakula ni kinyesi tu kilichokuwa kwenye process ya kwenda kutolewa maliwatoni, hakupaswa kukasirika kwa kiasi hicho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo mwamba akaona hapa hapa. Tena kuku wa kienyeji atampata wapi tena huyo kuku siku nyingine.

Nilitamani nitoke ni mpokonye ila nikamkaushia tu
 
Chakula ni cha mgeni, mgeni kamualika jirani, jirani kachukua kipande. Sasa ndio mtu ughadhibike kiasi cha kumfokea jirani na kuandika uzi kabisa.

Hayo yote yanabeba ishara moja tu, kuwa muandika uzi ni mchoyo aliekubuhu. Chakula ni kinyesi tu kilichokuwa kwenye process ya kwenda kutolewa maliwatoni, hakupaswa kukasirika kwa kiasi hicho.

Sawa unaonaje ukamlipia jirani yangu kuku badala yake
 
Chakula ni cha mgeni, mgeni kamualika jirani, jirani kachukua kipande. Sasa ndio mtu ughadhibike kiasi cha kumfokea jirani na kuandika uzi kabisa.

Hayo yote yanabeba ishara moja tu, kuwa muandika uzi ni mchoyo aliekubuhu. Chakula ni kinyesi tu kilichokuwa kwenye process ya kwenda kutolewa maliwatoni, hakupaswa kukasirika kwa kiasi hicho.
Wewe bado haujaelewa kumbe. Yaani huyu mleta uzi alichoandika hapa ni tabia ya ulafi ya huyo jirani yake ambaye amejipendekeza kwa mgeni na kuchukua Kidali cha nyama ya kuku. Sijui unaelewa lakini kuwa kidali huwa ni kipande kikubwa sana?,
 
Back
Top Bottom