Jirani nimemchoka na siwezi muambia

Jirani nimemchoka na siwezi muambia

Huyo mchane Tu. Kiafrika tunaombana lakini sio kila siku. Yaani anataka kwenye bajeti yako kila siku umweke na yeye? Unapata mishahara miwili au? Wala sio dhambi kumwambia. Ulivompa vinatosha. Kinyume cha hapo mwambie mpike pamoja muwe mnachanga misosi au hela. Kuna watu hawana aibu, ukimuendekeza kila siku utakuwa mzigo wako huo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Habarini

Mimi bhna naish sehemu fulani hapa dar sio ushuani na kaa ubalozi wa marekani pale

Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba akisikia napika chochote kile anaomba

Leo nimetoka zangu miangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nika mwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii

Ebwana kasikia nafungua mlang tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto

Akasema kwa sauti napenda balaa ikabid nimwambie njoo uchukue tukawa tuna kula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpka mm nikaona jau nikamwambia kamalize bas kwako

Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Wewe chizi hio mixer sio kabisa
 
Afie mbali kama anataka kula achangie japo kidogo. We umekuja na ktm yako tena ya mtu mmoja anaitafuna kama yake wakat hayupo kwenye hesabu. Ukwel siku zote unauma
Afie mbali kama anataka kula achangie japo kidogo. We umekuja na ktm yako tena ya mtu mmoja anaitafuna kama yake wakat hayupo kwenye hesabu. Ukwel siku zote unauma
Upo wapi unisaidie kumwambia
 
Na akiwa na m
Huyo mchane Tu. Kiafrika tunaombana lakini sio kila siku. Yaani anataka kwenye bajeti yako kila siku umweke na yeye? Unapata mishahara miwili au? Wala sio dhambi kumwambia. Ulivompa vinatosha. Kinyume cha hapo mwambie mpike pamoja muwe mnachanga misosi au hela. Kuna watu hawana aibu, ukimuendekeza kila siku utakuwa mzigo wako huo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
gen anakuja kunisumbua mm akauki akiona nimeludi tu
 
Hama njoo ujenge huku uswekeni

Unaishi na matajiri huku una roho mbaya au ndo hizo hela za kupata uzeeni
 
Na usikute ana kazi ila hela zake anahongea mademu tu.
Sema mwana unataka tukushauri halafu ukatuchonganishe kwa jirani ukaseme hata wanaJF wanakushangaa wamesema ule kwa jasho, kuna jela! sisi hatupo bwana.
Ila mtu anayegongea chakula mpe tu, hawezi kukufilisi.
 
Hama mkuu, katafute jumba kuuubwa uke peke yako kule mbweni au ununio baharini.

Au kama vipi inunue hiyo nyumba halafu uwape notices wapangaji woote.
 
Hama mkuu, katafute jumba kuuubwa uke peke yako kule mbweni au ununio baharini.

Au kama vipi inunue hiyo nyumba halafu uwape notices wapangaji woote.
Wapangaj tupo wawili tu nyumb nzima
 
Habarini

Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale

Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba

Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii

Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto

Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.

Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
 
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
Ulimkomesha utamu
 
Habarini

Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale

Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba

Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii

Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto

Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.

Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Umemuendekeza
 
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
Serious kabisa?
 
Dah.. hiyo ndo mitaa niliyokulia mimi, Drive-inn... matakoni mwa Maandazi road! Enzi hizo hata ubalozi haukuwepo! Home sweet home.
 
Back
Top Bottom