Jirani nimemchoka na siwezi muambia

Jirani nimemchoka na siwezi muambia

Umemuendekeza
Mimi mwazoni nilikuwa naona no shida koz nilikuwa sio shida sasa amezoea ndio shida yaani kuna siku aliniboa et njaa yake yeye analazimisha mim nipike akaja niamasha usingizin
Nikamwambia mm sipiki sasaiv kaende kaludi tena bado ujapika nikamwambia natoka akanikasilikia siku tatu
 
mmmh unahujumiwa watu wa hivyo sasa yeye akipata anajifungia ndani ila yeye vya kwako anavamia,
jirani naye ni wa ovyo labda uhame,ukienda sehemu epuka mazoea au ishi self cintained
Na ukiona kabeba kitu anaaza visingizo kufikili nitamuomba
 
Nilipoanza kuwa na kwangu ndo nikagundua binadamu bila kuwawekea vikwazo wanaweza kukuomba hata kitanda

Jifunze kukataa tena ukiwa serious na jicho umelitoa la kiume kabisa na sauti iliyojaa ukakamavu
 
Nilipoanza kuwa na kwangu ndo nikagundua binadamu bila kuwawekea vikwazo wanaweza kukuomba hata kitanda

Jifunze kukataa tena ukiwa serious na jicho umelitoa la kiume kabisa na sauti iliyojaa ukakamavu
Itabid kwakweli
 
Mimi mwazoni nilikuwa naona no shida koz nilikuwa sio shida sasa amezoea ndio shida yaani kuna siku aliniboa et njaa yake yeye analazimisha mim nipike akaja niamasha usingizin
Nikamwambia mm sipiki sasaiv kaende kaludi tena bado ujapika nikamwambia natoka akanikasilikia siku tatu
hapohapo ndo ilibidi ukate mazoea yasiyo na faida,mwambie atakuja kuolewa aache kupenda slope,kama mkeo endelea kumuhudumia mpaka mtu ananuna huyo ni mwanaume wa wapi?
 
Mimi mwazoni nilikuwa naona no shida koz nilikuwa sio shida sasa amezoea ndio shida yaani kuna siku aliniboa et njaa yake yeye analazimisha mim nipike akaja niamasha usingizin
Nikamwambia mm sipiki sasaiv kaende kaludi tena bado ujapika nikamwambia natoka akanikasilikia siku tatu
Mbona anatabia za kishougaa
 
Hiyo tabia yako siyo nzuri hata kidogo, hapo unajijaza sumu katika nafsi kujidai unapenda anavyokuja kumbe unahisi maumivu kama moto wa kisulisuli ndani yako, mwambie hupendi hiyo tabia yake wazi wazi.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Habarini

Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale

Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba

Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii

Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto

Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.

Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Mwachiluwi hongera Kwa kua na jiran Kama huyo, yawezekana yupo ivo Kwa sababu kuu mbili chemistry Yako na yy au Khali ya maisha yake sio rafiki Kwa sasa.
Kama Khali yake sio rafiki Kwa sasa jitahidi sana usifanye ajisikie vibaya, kama uwezo wako ni mzuri waweza muweka katika bajet yako this will not make you a bad person but a person with heart! Ni vema kusaidiana sana wakt wa shda ili wakt wa raha mcheke pamoja.
 
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mna vitukooo sanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mchane Tu. Kiafrika tunaombana lakini sio kila siku. Yaani anataka kwenye bajeti yako kila siku umweke na yeye? Unapata mishahara miwili au? Wala sio dhambi kumwambia. Ulivompa vinatosha. Kinyume cha hapo mwambie mpike pamoja muwe mnachanga misosi au hela. Kuna watu hawana aibu, ukimuendekeza kila siku utakuwa mzigo wako huo.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye kuchanga atamuona atakavotoka nduki.
Watu wa hivo wanapenda sana kitonga.
Hata kwenye mchango atataka atoe kidogo wewe nyingi ila mtoe sawa ila kwenye kupika na usafi wa vyombo uoshe wewe ukimgusia tu leo na wewe pika atanza kutafuta sababu ili tu msipike.
 
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
Kuna watu wanapenda sana vitu vya watu na asilimia kubwa watu wa hivo ni wachoyoo halafu wabahili.
 
Back
Top Bottom