ndandawamalenja
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 475
- 353
Wewe chizi hio mixer sio kabisaHabarini
Mimi bhna naish sehemu fulani hapa dar sio ushuani na kaa ubalozi wa marekani pale
Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba akisikia napika chochote kile anaomba
Leo nimetoka zangu miangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nika mwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii
Ebwana kasikia nafungua mlang tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto
Akasema kwa sauti napenda balaa ikabid nimwambie njoo uchukue tukawa tuna kula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpka mm nikaona jau nikamwambia kamalize bas kwako
Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Afie mbali kama anataka kula achangie japo kidogo. We umekuja na ktm yako tena ya mtu mmoja anaitafuna kama yake wakat hayupo kwenye hesabu. Ukwel siku zote unauma
Upo wapi unisaidie kumwambiaAfie mbali kama anataka kula achangie japo kidogo. We umekuja na ktm yako tena ya mtu mmoja anaitafuna kama yake wakat hayupo kwenye hesabu. Ukwel siku zote unauma
gen anakuja kunisumbua mm akauki akiona nimeludi tuHuyo mchane Tu. Kiafrika tunaombana lakini sio kila siku. Yaani anataka kwenye bajeti yako kila siku umweke na yeye? Unapata mishahara miwili au? Wala sio dhambi kumwambia. Ulivompa vinatosha. Kinyume cha hapo mwambie mpike pamoja muwe mnachanga misosi au hela. Kuna watu hawana aibu, ukimuendekeza kila siku utakuwa mzigo wako huo.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wapangaj tupo wawili tu nyumb nzimaHama mkuu, katafute jumba kuuubwa uke peke yako kule mbweni au ununio baharini.
Au kama vipi inunue hiyo nyumba halafu uwape notices wapangaji woote.
Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni emptyHabarini
Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale
Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba
Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii
Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto
Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.
Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Ulimkomesha utamuKuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
Na usiombe-ombe mpaka ikawa kero kwa mwenzio... pengine unakuta anavyakumtosha yeye pekeeMaji na chakula huwa wabongo hatunyiamani,kua
UmemuendekezaHabarini
Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale
Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba
Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii
Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto
Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.
Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Serious kabisa?Kuna mmoja nikiwa chuo nimepanga sehemu ukirudi tu na mfuko mweusi anataka just umenunua nn na atakufata Hadi ndani , Kuna siku nimepita na mfuko akajua muda mrefu nitakuwa nimepika akafanya makadirio yake akajagonga nikafungua akazama ndani akakuta nimefunikia sufuria jikoni na mwiko tumekaa stori weee akaona Kama tunachelewa Mambo kidogo namuona kainuka anaenda funua sufuria akakuta ni empty
watu maisha ni magumu kila mtu ale kulingana na uwezo wake,ufanye kazi kwa ajili ya mtu?Maji na chakula huwa wabongo hatunyiamani,kua