Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #61
Kuna siku ailinunua tikiti anajua mimi ni mpezi wa matikiti basi akaaza kujisemesha kuna mgeni anakuja kanipa tikiti nitangulie nalo yeye anakuja nikawa nashangaa tu sijamuuliza ataKuna watu wanapenda sana vitu vya watu na asilimia kubwa watu wa hivo ni wachoyoo halafu wabahili
ChayHabarini
Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale
Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba
Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii
Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto
Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.
Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Huyo ni mshenzi kama walivyo washenzi wengine tu.Mimi mwazoni nilikuwa naona no shida koz nilikuwa sio shida sasa amezoea ndio shida yaani kuna siku aliniboa et njaa yake yeye analazimisha mim nipike akaja niamasha usingizin
Nikamwambia mm sipiki sasaiv kaende kaludi tena bado ujapika nikamwambia natoka akanikasilikia siku tatu
Anakela ww hujui tuHuyo ni mshenzi kama walivyo washenzi wengine tu.
Usimwambie. Hivyo vyakula ungekuwa saa nyingine unatupa kwenye pipa la taka. Saidia binadamu mwenzio. Siku ukihitaji msaada kwake au akakusaidia issue fulani ndio utagundua unachompa pengine si chochote. Furahi Mungu kakupa uwezo wa kumpata jirani anayekuhitaji. Hata akiomba Mungu na kusema jirani atarudi saa ngapi leo nipate kula ndio unafanikiwa.Habarini
Mimi bhana naishi sehemu fulani hapa Dar sio ushuani nakaa ubalozi wa Marekani pale
Sasa jirani yangu ni kero nikipika kuku anaomba, akisikia napika chochote kile anaomba
Leo nimetoka zangu mihangaiko nimenunua nyama choma na kitimoto nikamwambia muuzaji changanya si najua ni muislam hatumii
Ebwana kasikia nafungua mlango tu kaja kaka nani umebeba nini chakula na njaa hapa naomba nionje kidogo maana nimebandika maji ya ugali sasaiv nikamjibu ni kitimoto
Akasema kwa sauti napenda balaa ikabidi nimwambie njoo uchukue tukawa tunakula kwa pamoja nikajua atanibakishia mpaka mimi nikaona jau nikamwambia kamalize basi kwako.
Sipendi tabia ya kuombwa na kumwambia naogopa yaani nahisi atajisikia vibaya sijui nifanyeje
Kaka unaongea ukiwa mkoa gani?dsm auUsimwambie. Hivyo vyakula ungekuwa saa nyingine unatupa kwenye pipa la taka. Saidia binadamu mwenzio. Siku ukihitaji msaada kwake au akakusaidia issue fulani ndio uragundua unachompa pengine si chochote. Furahi Mungu kakupa uwezo wa kumpata jirani anayekuhitaji. Hata akiomba Mungu na kusema jirani atarudi saa ngapi leo nipate kula ndio unafanikiwa.
Achaga dharau jiheshimu na sio lazima ucommentShule zinafunguliwa lini uende shule