Jirani yangu ana mke mzuri nimetokea kumpenda sana

Jirani yangu ana mke mzuri nimetokea kumpenda sana

Huyu jirani yangu ni playboy, kila baada ya miezi mitatu alikuwa ana-renew wanawake, lakini kwa huyu aliyenaye kwa sasa, anavutia sana. Siku zote nimekuwa nikingoja kifurushi kiishe, ni mwezi wa nne sasa tokea amekuwa naye, hakuna hata dalili. Nimechoka kumchukulia sheria mikononi, siku zote nimeishi kwa kutumia picha zake nilizompiga kwa simu yangu kiaina pasi na yeye kushtukia

She is very beautiful, a woman with natural chocolate skin colour, sura ya huruma na macho fulani hivi ya kulia lia, hana mambo mengi kichwani, mpole, hana makuu, muda wote ni ndani kama sio kwenye ubaraza wa nyumba tunayoishi, busy akicheka na simu yake. Maneno ambayo huwa nazungumza naye ni yale yale kila siku i.e "Habari za sa hizi", "Salama", kisha naingia chumbani kwangu naanza kumzoom dirishani kwangu. Ni mwanamke wa kipekee sana, nampenda sana, nampenda tena sana

Kuna siku nilikuwa naenda kuoga nikibebelea kindoo mikononi, nilivyogeuka kumtazama nilijikuta naanguka na ndoo, maji yakatawanyika ubarazani, hii ni baada ya kuuona upaja uliotukuka muda huo alipolishikilia pindo la sketi aliyovaa kujifutia uso pasi na kujua kama huenda ningeligeuka nyuma kwa bahati mbaya, alijizuia kucheka, ila ikambidi acheke tu, japo niliumia nyonga lakini sikujali, hiyo picha ya upaja nimeishi nayo kwa mwezi sasa. Natamani kumfungukia, ila je akikataa itakuwaje? Na je, akinikubalia yakanikuta yaliyomkuta binti wa wale wajeda watano itakuwaje?

Najizuia kumpenda ila nashindwa, nikimuona tu moyo unawaka sana
Itoshe kusema wewe ni mpumbavu. Halafu moderators mnaacha uzi kama huu ili iweje?
 
Nikutie moyo, uzae upendo
Huyo usimuache usikate tamaa nae, ww tongoza hadi atakuelewa
 
Huyu jirani yangu ni playboy, kila baada ya miezi mitatu alikuwa ana-renew wanawake, lakini kwa huyu aliyenaye kwa sasa, anavutia sana. Siku zote nimekuwa nikingoja kifurushi kiishe, ni mwezi wa nne sasa tokea amekuwa naye, hakuna hata dalili. Nimechoka kumchukulia sheria mikononi, siku zote nimeishi kwa kutumia picha zake nilizompiga kwa simu yangu kiaina pasi na yeye kushtukia

She is very beautiful, a woman with natural chocolate skin colour, sura ya huruma na macho fulani hivi ya kulia lia, hana mambo mengi kichwani, mpole, hana makuu, muda wote ni ndani kama sio kwenye ubaraza wa nyumba tunayoishi, busy akicheka na simu yake. Maneno ambayo huwa nazungumza naye ni yale yale kila siku i.e "Habari za sa hizi", "Salama", kisha naingia chumbani kwangu naanza kumzoom dirishani kwangu. Ni mwanamke wa kipekee sana, nampenda sana, nampenda tena sana

Kuna siku nilikuwa naenda kuoga nikibebelea kindoo mikononi, nilivyogeuka kumtazama nilijikuta naanguka na ndoo, maji yakatawanyika ubarazani, hii ni baada ya kuuona upaja uliotukuka muda huo alipolishikilia pindo la sketi aliyovaa kujifutia uso pasi na kujua kama huenda ningeligeuka nyuma kwa bahati mbaya, alijizuia kucheka, ila ikambidi acheke tu, japo niliumia nyonga lakini sikujali, hiyo picha ya upaja nimeishi nayo kwa mwezi sasa. Natamani kumfungukia, ila je akikataa itakuwaje? Na je, akinikubalia yakanikuta yaliyomkuta binti wa wale wajeda watano itakuwaje?

Najizuia kumpenda ila nashindwa, nikimuona tu moyo unawaka sana
Mtongoze tu akikataa mwambie akaushie ibaki heshima.
Akikubali kula......sepa☄️
 
cocastic angalia hii karusha jamaa
Screenshot_20240714-185815_1.jpg
 
Itoshe kusema wewe ni mpumbavu. Halafu moderators mnaacha uzi kama huu ili iweje?
Kwa hiyo kumpenda mtu ni dhambi. Na ndio maana nimeubadilisha upendo wangu kuwa tamaa, maana yake nimle halafu nimuache aendelee na maisha yake
 
Endelea kuvizia vizia eneo
La penati,utakuatana na lose ball tu
 
Hii itasaidia sana mkuu, wacha nichukue maamuzi magumu tu. Hakuna namna kuliko kuidhurumu nafsi
Fanya kweli baharia.
Tumia akili nyingi kuliko hisia, sio anakwambia njoo mmewe hayupo nawe unajaa, shetani hakaagi mbali.
 
Huyu jirani yangu ni playboy, kila baada ya miezi mitatu alikuwa ana-renew wanawake, lakini kwa huyu aliyenaye kwa sasa, anavutia sana. Siku zote nimekuwa nikingoja kifurushi kiishe, ni mwezi wa nne sasa tokea amekuwa naye, hakuna hata dalili. Nimechoka kumchukulia sheria mikononi, siku zote nimeishi kwa kutumia picha zake nilizompiga kwa simu yangu kiaina pasi na yeye kushtukia

She is very beautiful, a woman with natural chocolate skin colour, sura ya huruma na macho fulani hivi ya kulia lia, hana mambo mengi kichwani, mpole, hana makuu, muda wote ni ndani kama sio kwenye ubaraza wa nyumba tunayoishi, busy akicheka na simu yake. Maneno ambayo huwa nazungumza naye ni yale yale kila siku i.e "Habari za sa hizi", "Salama", kisha naingia chumbani kwangu naanza kumzoom dirishani kwangu. Ni mwanamke wa kipekee sana, nampenda sana, nampenda tena sana

Kuna siku nilikuwa naenda kuoga nikibebelea kindoo mikononi, nilivyogeuka kumtazama nilijikuta naanguka na ndoo, maji yakatawanyika ubarazani, hii ni baada ya kuuona upaja uliotukuka muda huo alipolishikilia pindo la sketi aliyovaa kujifutia uso pasi na kujua kama huenda ningeligeuka nyuma kwa bahati mbaya, alijizuia kucheka, ila ikambidi acheke tu, japo niliumia nyonga lakini sikujali, hiyo picha ya upaja nimeishi nayo kwa mwezi sasa. Natamani kumfungukia, ila je akikataa itakuwaje? Na je, akinikubalia yakanikuta yaliyomkuta binti wa wale wajeda watano itakuwaje?

Najizuia kumpenda ila nashindwa, nikimuona tu moyo unawaka sana
Nimesikitishwa sana
 
We fanya hivi, siku pita supermarket au duka,lenye BISCUIT za Eat some more. Chukua moja tu,nenda nayo. Ukifika,kabla hujaingia ndani,msalimie,simama hapo,jifanye siku hiyo unashea nae ulicho nacho. Fungua kabox,mpe atoe kwanza. Huenda achukue kamoja. Muulize tu kama tam,jibu hakika unalo. We sepa zako usiingie sana.
Baada ya muda,salamu salamu. Omba hata sabuni au chumvi,kausha. Badae tena, muulize nini umletee! Akisema hapana,we mwambie biscuit tena. Uone kama hatojaa mwenyewe. Ila,usije lalamika kwamba laki 3 imetembea na hujapata chohote.

Mbinu nyingine ntakupa badae.
 
Huyu jirani yangu ni playboy, kila baada ya miezi mitatu alikuwa ana-renew wanawake, lakini kwa huyu aliyenaye kwa sasa, anavutia sana. Siku zote nimekuwa nikingoja kifurushi kiishe, ni mwezi wa nne sasa tokea amekuwa naye, hakuna hata dalili. Nimechoka kumchukulia sheria mikononi, siku zote nimeishi kwa kutumia picha zake nilizompiga kwa simu yangu kiaina pasi na yeye kushtukia

She is very beautiful, a woman with natural chocolate skin colour, sura ya huruma na macho fulani hivi ya kulia lia, hana mambo mengi kichwani, mpole, hana makuu, muda wote ni ndani kama sio kwenye ubaraza wa nyumba tunayoishi, busy akicheka na simu yake. Maneno ambayo huwa nazungumza naye ni yale yale kila siku i.e "Habari za sa hizi", "Salama", kisha naingia chumbani kwangu naanza kumzoom dirishani kwangu. Ni mwanamke wa kipekee sana, nampenda sana, nampenda tena sana

Kuna siku nilikuwa naenda kuoga nikibebelea kindoo mikononi, nilivyogeuka kumtazama nilijikuta naanguka na ndoo, maji yakatawanyika ubarazani, hii ni baada ya kuuona upaja uliotukuka muda huo alipolishikilia pindo la sketi aliyovaa kujifutia uso pasi na kujua kama huenda ningeligeuka nyuma kwa bahati mbaya, alijizuia kucheka, ila ikambidi acheke tu, japo niliumia nyonga lakini sikujali, hiyo picha ya upaja nimeishi nayo kwa mwezi sasa. Natamani kumfungukia, ila je akikataa itakuwaje? Na je, akinikubalia yakanikuta yaliyomkuta binti wa wale wajeda watano itakuwaje?

Najizuia kumpenda ila nashindwa, nikimuona tu moyo unawaka sana
Chai hii
 
We fanya hivi, siku pita supermarket au duka,lenye BISCUIT za Eat some more. Chukua moja tu,nenda nayo. Ukifika,kabla hujaingia ndani,msalimie,simama hapojifanye siki hiyo unashea nae ulicho nacho. Fungua kabox,mpe atoe kwanza. Huenda achukue kamoja. Muulize tu kama tam,jibu hakika unalo. We sepa zako usiingie sana.
Baada ya muda,salamu salamu. Omba hata sabuni au chumvi,kausha. Badae tena, muulize nini umletee! Akisema hapana,we mwambie biscuit tena. Uone kama hatojaa mwenyewe. Ila,usije lalamika kwamba laki 3 imetembea na hujapata chohote.

Mbinu nyingine ntakupa badae.
😂😂😂Umetisha sana kiongozi, hii itakuwa plan B. Plan A kila ninapomuona naanza kutia tia huruma, utaskia tu "Haya Jaa! Dhh! Aiseee! Yaani hiki kidonda"
 
😂😂😂Umetisha sana kiongozi, hii itakuwa plan B. Plan A kila ninapomuona naanza kutia tia huruma, utaskia tu "Haya Jaa! Dhh! Aiseee! Yaani hiki kidonda"
Acha USENGE. Hayo ya kutiana huruma yatakusaidia nini? Huyo wa kuliwa kimasihara tu. Ukichelewamshikaji atashtukia mchezo mchafu unaopanga. Ulizia kama anamimina kidogo,nikupe mbinu ya fasta. Siku moja tu,tosha. Iwe kibarazani,jikoni au wapi utajua mwenyewe. Kikubwa tu kutuhakikishia,shuka na kufuri lake kama kweli utadig. Ukihama na kuhama nae unaweza.


Evelyn Salt , unashauli vipi!!!
 
Acha USENGE. Hayo ya kutiana huruma yatakusaidia nini? Huyo wa kuliwa kimasihara tu. Ukichelewamshikaji atashtukia mchezo mchafu unaopanga. Ulizia kama anamimina kidogo,nikupe mbinu ya fasta. Siku moja tu,tosha. Iwe kibarazani,jikoni au wapi utajua mwenyewe. Kikubwa tu kutuhakikishia,shuka na kufuri lake kama kweli utadig. Ukihama na kuhama nae unaweza.


Evelyn Salt , unashauli vipi!!!
Sijawahi kumuona akiwa tungi, ingawa siku moja moja huwa naona anaagiza mtoto amletee Castle Lite, anagigida jioni kisha analala, akiamka saa moja moja huwezi mdhania, sijui huwa anakunywa kweli ama anamtunzia mumewe, hapo ndo huwa sielewi
 
Back
Top Bottom