Jirani yangu ana mke mzuri nimetokea kumpenda sana

Jirani yangu ana mke mzuri nimetokea kumpenda sana

Sijawahi kumuona akiwa tungi, ingawa siku moja moja huwa naona anaagiza mtoto amletee Castle Lite, anagigida jioni kisha analala, akiamka saa moja moja huwezi mdhania, sijui huwa anakunywa kweli ama anamtunzia mumewe, hapo ndo huwa sielewi
Tatizo lako ushamba umekuwa mwingi sasa. Mi nakupa mbinu lakini si bure. Hizo beer za kishambashamba. We si unataka kudandia farashi la mwenzio? Smatika kwanza. Katafute kitu inaitwa GreyBolt. Njoo,nayo,ukifoka,stori nyingi acha. Mwite shem eh,ebu njoo na grasi hapo nikuonjeshe kidoooogo. Lakini usiwe serious kama mbwa anaekula ngozi. Ataleta tuuu,hata akikwambia situmii,mwambie we mwaga,haina shida.
Kama mpo karibu karibu,tafuta miziki ya kifaransa. Huna,ntakupa. Ebwana ehhh,ile miziki,hata kama huelewi,melodi tu itaangusha kitu. Acha leo niishie hapa

Af uje na mrejesho sasa
 

Attachments

  • 8_1080x1080.jpg
    8_1080x1080.jpg
    101.5 KB · Views: 3
Sijawahi kumuona akiwa tungi, ingawa siku moja moja huwa naona anaagiza mtoto amletee Castle Lite, anagigida jioni kisha analala, akiamka saa moja moja huwezi mdhania, sijui huwa anakunywa kweli ama anamtunzia mumewe, hapo ndo huwa sielewi
Anaogea wapi kwanza!
 
Yani bado unaoga na ndoo alafu unatamani mademu za watu si ungetafuta hela kwanza😂
 
Tafuta pesa ndugu, UKIWA NA KIBUNDA NJOO NIKUPE MBINU YA KUMPATA
 
Piga at your own risk. Usipodakwa fresh, ila ukidakwa hakunaga ugoni siku mkuu. 😁
 
kumtazama nilijikuta naanguka na ndoo, maji yakatawanyika ubarazani, hii ni baada ya kuuona upaja uliotukuka muda huo alipolishikilia pindo la sketi aliyovaa kujifutia uso pasi na kujua kama huenda ningeligeuka nyuma kwa bahati mbaya, alijizuia kucheka, ila ikambidi acheke tu, japo niliumia nyonga lakini sikujali, hiyo picha ya upaja nimeishi nayo kwa mwezi sasa

Usijari siku yako itafika
 
Mke wa mtu ni shida...ikitokea mume wake akajua, hata asipochukua hatua utaishi kwa hofu sana.
Wazuri bado hawajazaliwa. Na wanawake ni wengi, angalia wa kufanana naye...
 
wakati unaendelea kumnyemelea huyo mwanamke wa jirani jitahidi usikose kuhudhuria darasa la mauzinde maana mafunzo utakayoyapata yatakusaidia kukupunguzia kiu ya maji.
 
Back
Top Bottom