Jirani yangu ana mke mzuri nimetokea kumpenda sana

Itoshe kusema wewe ni mpumbavu. Halafu moderators mnaacha uzi kama huu ili iweje?
 
Nikutie moyo, uzae upendo
Huyo usimuache usikate tamaa nae, ww tongoza hadi atakuelewa
 
Mtongoze tu akikataa mwambie akaushie ibaki heshima.
Akikubali kula......sepa☄️
 
Itoshe kusema wewe ni mpumbavu. Halafu moderators mnaacha uzi kama huu ili iweje?
Kwa hiyo kumpenda mtu ni dhambi. Na ndio maana nimeubadilisha upendo wangu kuwa tamaa, maana yake nimle halafu nimuache aendelee na maisha yake
 
Endelea kuvizia vizia eneo
La penati,utakuatana na lose ball tu
 
Hii itasaidia sana mkuu, wacha nichukue maamuzi magumu tu. Hakuna namna kuliko kuidhurumu nafsi
Fanya kweli baharia.
Tumia akili nyingi kuliko hisia, sio anakwambia njoo mmewe hayupo nawe unajaa, shetani hakaagi mbali.
 
Nimesikitishwa sana
 
We fanya hivi, siku pita supermarket au duka,lenye BISCUIT za Eat some more. Chukua moja tu,nenda nayo. Ukifika,kabla hujaingia ndani,msalimie,simama hapo,jifanye siku hiyo unashea nae ulicho nacho. Fungua kabox,mpe atoe kwanza. Huenda achukue kamoja. Muulize tu kama tam,jibu hakika unalo. We sepa zako usiingie sana.
Baada ya muda,salamu salamu. Omba hata sabuni au chumvi,kausha. Badae tena, muulize nini umletee! Akisema hapana,we mwambie biscuit tena. Uone kama hatojaa mwenyewe. Ila,usije lalamika kwamba laki 3 imetembea na hujapata chohote.

Mbinu nyingine ntakupa badae.
 
Chai hii
 
😂😂😂Umetisha sana kiongozi, hii itakuwa plan B. Plan A kila ninapomuona naanza kutia tia huruma, utaskia tu "Haya Jaa! Dhh! Aiseee! Yaani hiki kidonda"
 
😂😂😂Umetisha sana kiongozi, hii itakuwa plan B. Plan A kila ninapomuona naanza kutia tia huruma, utaskia tu "Haya Jaa! Dhh! Aiseee! Yaani hiki kidonda"
Acha USENGE. Hayo ya kutiana huruma yatakusaidia nini? Huyo wa kuliwa kimasihara tu. Ukichelewamshikaji atashtukia mchezo mchafu unaopanga. Ulizia kama anamimina kidogo,nikupe mbinu ya fasta. Siku moja tu,tosha. Iwe kibarazani,jikoni au wapi utajua mwenyewe. Kikubwa tu kutuhakikishia,shuka na kufuri lake kama kweli utadig. Ukihama na kuhama nae unaweza.


Evelyn Salt , unashauli vipi!!!
 
Sijawahi kumuona akiwa tungi, ingawa siku moja moja huwa naona anaagiza mtoto amletee Castle Lite, anagigida jioni kisha analala, akiamka saa moja moja huwezi mdhania, sijui huwa anakunywa kweli ama anamtunzia mumewe, hapo ndo huwa sielewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…