Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Acha sifa we fangasi......,!Umeanza vizuri sana ila ulipofika hapo katikati tu sijui unawala mahausigeli nikaacha na kusoma kabisa nikaona haya matangazo inatakiwa ulipie huna tofauti na wale wanagawa vi peperushi vya waganga wa kienyeji mabarabarani
Hayo mengine kazi ya nani?Big mistake !
Kama ni Mfanyakazi mpe stahiki yake, mlipie NSSF kila mwezi pamoja na Bima ya Afya basi hayo mengine siyo kazi yako, kama unataka mtoto nenda kaasili Vituo wapo watoto wengi wenye mahitaji, ...
Hayo mengine kazi ya nani?
Kumsomesha mfanyazi ni kumpangia namna ya kuishi vipi kama alikuwa anauhitaji wa kujiendeleza kielimu ila uwezo akawa hana.Mpendwa kuendelezwa kielimu na kupangiwa mshahara ni mambo mawili tofautiKama unamlipa Mshahara unataka umpangie na jinsi ya kuishi ? Wewe bosi wako anakupangia jinsi ya kutumia fedha zako ?
Kumsomesha mfanyazi ni kumpangia namna ya kuishi vipi kama alikuwa anauhitaji wa kujiendeleza kielimu ila uwezo akawa hana.
Huo ni upuuz wangu nao ni sehemu ya mafunzoumeandikanpoints nzuri lakini zimeyeyushwa na maneno ya hovyo uliyoingiza humo
Sawa; wanawake wengine hata chakula wanawapakulia kwenye sufulia kama mbwa! Wanawatenga kula kivyaoHuwezi badilika, tabia ni kama ngozi!!
Hongera jirani. Mpe mkewe salute kubwa.
Ni faraja mno mfanyakazi anayekufanyia kazi ukamchukulia kama mtoto wako au kama mwana familia hii inampatia amani ya moyo na shauku ya kuendelea kufanya kazi vizuri zaidi.nina uwezo huo lkn mambo ya sijui kumfanya Mfanyakazi kama mtoto wangu nope, nikitaka mtoto nitaenda kuasili vituoni, .
Sitaki tena unanifundisha ujinga! Ushindwe kabisa kwa jina la YesuMkuu sema nawe ulizingua house yupo ndani mwako kwann mchat kwenye msg?..yaan kuku wako manati ya nini?,huyo ulipaswa uharibu tu kitasa cha mlango basi!
Watu wengine bwana! Ulitaka niandike nakula wewe au?Umeanza vizuri sana ila ulipofika hapo katikati tu sijui unawala mahausigeli nikaacha na kusoma kabisa nikaona haya matangazo inatakiwa ulipie huna tofauti na wale wanagawa vi peperushi vya waganga wa kienyeji mabarabarani
AminaNatamka wazi sitamtaka wala kumtamani house girl teeena! Hata akiwa na matako makubwa kama behewa! Sithubutu![well ubadilike]
Duh mbinguni uendi wewe,,Mkuu sema nawe ulizingua house yupo ndani mwako kwann mchat kwenye msg?..yaan kuku wako manati ya nini?,huyo ulipaswa uharibu tu kitasa cha mlango basi!
Usiwafundishe watu roho mbaya hiyo ya kwako,wengine wanafanya zaidi ya hapo.Big mistake !
Kama ni Mfanyakazi mpe stahiki yake, mlipie NSSF kila mwezi pamoja na Bima ya Afya basi hayo mengine siyo kazi yako, kama unataka mtoto nenda kaasili Vituo wapo watoto wengi wenye mahitaji, ...