Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

Maelezo yake yamenyooka vizuri sana. Sasa sijui huo wivu mnaodhani anao mnautolea wapi. Yani mko stressed kuliko yeye mwenyewe anayechunguliwa.

Mkuu: usijali sana hawa watu hawakaagi nyumbani. Sanasana dada wa kazi na vitoto ambavyo vitakua floor ya chini. Tulia.
 
Kwa la maji una point, mpe tahadhari mapema ili msije mkaanza kupelekana mahakamani na kuvunjiana nyumba, design nyingine ni gross violation of space, abadilishe na umpe clear asipofanya hivyo utamshtaki
Na wewe unaamini maji ya paa yanamwagikia kwa jirani? , unless kama muhusika hajaweka gutter lakini Hilo ni suala dogo linalorekebishika bila hata kupelekana mahakamani, ni kukaa chini Tu na kueleweshana
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Mkuu Arusha kuna viwanja vizuri sana.
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Swali: sheria zinasemaje kwa mtu anaekuja kujenga gholofa pahali ambapo kuna nyumba za chini?

Kama kuna jambo ambalo Lina vunja sheria baina yako na yake basi mueleweshe akigoma ndo ufuate utaratibu.
 
Maelezo yake yamenyooka vizuri sana. Sasa sijui huo wivu mnaodhani anao mnautolea wapi. Yani mko stressed kuliko yeye mwenyewe anayechunguliwa.

Mkuu: usijali sana hawa watu hawakaagi nyumbani. Sanasana dada wa kazi na vitoto ambavyo vitakua floor ya chini. Tulia.
Sawaaa mkuuu nimekuelewa
 
Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.

Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.

Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.

Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.

Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.

Am stressed u know.

View attachment 2933773
Jamii forum kuna watu wa .. AKILI MBALIMBALI yaani I.Q

Kuna first grade iq

Kuna daraja la kati

Kuna makapi ya jamiii forum aliyaandika ni makapi ya jamiii forum sasa streess gani hapo
 
Back
Top Bottom