Akifoka Yale mwamba bwana unaondoka site 🤣🤣 anakulindia mpaka anastaafuAfuge pia black mamba huyo analiacha na ghorofa lake hapo,kila siku hakikisha aliye mkubwa zaidi anamsalimia ndani ya fence yake🤸🤸🤸🤸🤸
Usalama kwqni unataka kuuza bhangi??mbona nyumba nyingi tu za maghorofs zimepakana na nyumba za chini na hakuna hizo hatari unazoziona wewe??Hpn siwezi fanya Hilo ila usalama wangu upo mashakani
Na wewe unaamini maji ya paa yanamwagikia kwa jirani? , unless kama muhusika hajaweka gutter lakini Hilo ni suala dogo linalorekebishika bila hata kupelekana mahakamani, ni kukaa chini Tu na kueleweshanaKwa la maji una point, mpe tahadhari mapema ili msije mkaanza kupelekana mahakamani na kuvunjiana nyumba, design nyingine ni gross violation of space, abadilishe na umpe clear asipofanya hivyo utamshtaki
Sasa atakufanyaje wakati amekuzidi kiuwezo? Au usalama gani unaouongelea? ghorofa kukuangukia?Hpn siwezi fanya Hilo ila usalama wangu upo mashakani
Mkuu Arusha kuna viwanja vizuri sana.Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Haya maswali uliyo uliza yote hawezi kuyajibu kwa hoja[emoji23]Sasa atakufanyaje wakati amekuzidi kiuwezo? Au usalama gani unaouongelea? ghorofa kukuangukia?
Swali: sheria zinasemaje kwa mtu anaekuja kujenga gholofa pahali ambapo kuna nyumba za chini?Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Hapna siwez loga mkuu hata hvyo tushamalizana na tajiriUtakuja kuroga unapoelekea bwasheee
Tumesha malizanaSwali: sheria zinasemaje kwa mtu anaekuja kujenga gholofa pahali ambapo kuna nyumba za chini?
Kama kuna jambo ambalo Lina vunja sheria baina yako na yake basi mueleweshe akigoma ndo ufuate utaratibu.
SanaaaaMkuu Arusha kuna viwanja vizuri sana.
Sawaaa mkuuu nimekuelewaMaelezo yake yamenyooka vizuri sana. Sasa sijui huo wivu mnaodhani anao mnautolea wapi. Yani mko stressed kuliko yeye mwenyewe anayechunguliwa.
Mkuu: usijali sana hawa watu hawakaagi nyumbani. Sanasana dada wa kazi na vitoto ambavyo vitakua floor ya chini. Tulia.
Jamii forum kuna watu wa .. AKILI MBALIMBALI yaani I.QWakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa Serekali, kwanza kiwanja chake ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinachonipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake aliouanzisha hivi karibuni, anajenga ghorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote imeitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu watakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mimi Sina uwezo kwa sasa wa kujenga ghorofa ila itabidi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbani.
Vinginevyo nitamuende nimuuzie hicho kiwanja changu, mimi nitafute kwingine.
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Limemtoka mkuu.. tumsamehe bure[emoji23]Jamii forum kuna watu wa .. AKILI MBALIMBALI yaani I.Q
Kuna first grade iq
Kuna daraja la kati
Kuna makapi ya jamiii forum aliyaandika ni makapi ya jamiii forum sasa streess gani hapo
Safi kama suluhu imepatikana maana sio vyema kuwa Na kinyongo na jirani maana jirani ndo ndugu wa kwanza pale unapo pata matatizo hivyo ni good news [emoji4]Tumesha malizana
Na ukweli ni kwamba, siku akivamiwa, mwenye gorofa ndio ana chansi kubwa ya kuwaona panya road kuliko yeye.Haya maswali uliyo uliza yote hawezi kuyajibu kwa hoja[emoji23]