dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #41
Sina pesa za kifisadi bhna[emoji23][emoji23]Kwa nini wewe usijenge yajo Posta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina pesa za kifisadi bhna[emoji23][emoji23]Kwa nini wewe usijenge yajo Posta?
Am stressed mkuuUzi wako kama wa kuvutia muda wa kula daku. Najua unatania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imekha vzr nitafunga kamera kuelekeza kwake walaiSimple funga camera zielekezee kwake uwe unapata umbea live ukiwa sebuleni adi ukitaka kuzoom unazoom
Imeisha iyo mazee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imekha vzr nitafunga kamera kuelekeza kwake walai
Hadi tukubaliane tupandishe ukuta
Unazidi mtia hofu ujueUmekwisha
Hiyo ingefaa kua fursa ya wewe kuongeza bidii na maarifa ya kutafuta ili mwende sawa juu kwa juu 🐒Wakuu huyu jamaa simjui vzr Ila nahisi Ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800....
Jirani atamchungulia yeye na mkewe ujueUnazidi mtia hofu ujue
😂😂 Wewe jamaa fala sana yan 😂😂 nmecheka knoma, kwahy hata hujamaliza ujenzi wako tayari jirani yako ashaanza kulalamika 😂Sema nikupe bei gani hako kajumba kako ..maana umeshaanza kulalamika hovyo.
Ndiyo ahame sasaJirani atamchungulia yeye na mkewe ujue
Jirani atamchungulia yeye na mkewe ujue
Mimi sijatamani maisha yake Waka Sina wivu na jengo lake tatizo Ni kwa jins akivyo uelekeza ile balcony kwangu mm [emoji41]Kaka pole sana
Umejipa kazi isiyokua na maana
Duniani hapa tunaishi kwa wakati tulio nao...
Sasa alielekezee wapi wakati kwako ndio kumekaa vzrMm sijatamani maisha yake Waka Sina wivu na jengo lake tatizo Ni kwa jins akivyo uelekeza ile balcony kwangu mm [emoji41]
Sina wivu mkuu ni jinsi alcyo seti ile balcony yake kuitazamisha kwangu wakt kulikuwa na direction ya kuset kwingine na jengo lake kukaa vizuri tuhiyo ingefaa kua fursa ya wewe kuongeza bidii na maarifa ya kutafuta ili mwende sawa juu kwa juu [emoji205]
sasa wewe kupiga hatua mwezako kukuzidi wew kuna kupa stress? hicho ni kiwango kibaya sana cha kukata tamaa Lakini zaid sana ni hatua mbaya sana ya inferiority complex [emoji205]
Si nzur kiafya
Za kifisadi zikoje Ndugu yangu ?Sina pesa za kifisadi bhna[emoji23][emoji23]