dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #101
SAS mkuu huwezi kwenda kinyume na mipango mji kumbuka ramani za ujenzi zinapitishwa na jij kwa vibali pia na ukaguzi endapo nitakwemda kinyume nitashtakiwa kwa mujibu wa sheria za ardhiOnho kumbe...basi fanya kama walivyoshauri wengine...badili mwelekeo wa jengo lako....afu unadhani huwa wanakaa sasa huko juu....Mara chache sana
Basi jiamini,fanya yako niamini hawezi fanya kitu kibaya....tengeneza mji wako maisha yaendelee mkuuSAS mkuu huwezi kwenda kinyume na mipango mji kumbuka ramani za ujenzi zinapitishwa na jij kwa vibali pia na ukaguzi endapo nitakwemda kinyume nitashtakiwa kwa mujibu wa sheria za ardhi
Njtanyanyua usawa wa balcony yake fundi amenishauri hvyoUkisha nyanyua ukuta sawa na ghorofa turushie kapicha
But anyway am not happy Kwanza amekosea ujenz wake hata bati lake litakuja kumwaga maji kwangu hukuBasi jiamini,fanya yako niamini hawezi fanya kitu kibaya....tengeneza mji wako maisha yaendelee mkuu
HV unaelewa ile balcony imekaaje Kwanza kitendo Cha yeye kukah tu ananiona tokea getini Hadi uwani kote na jiko la nnje anatazamaJenga nyumba nyingine hapo uani, ili awe anaona paa tu la nyumba.
Kwani unafanya nini ambacho hautaki akione? Tofauti na unavyodhani yeye kuweza kuona eneo lako ndio anakuongezea usalama. Mkivamiwa au likitokea janga lolote ataweza kuwasaidia. Hata ungeweza kujenga ghorofa usingeweza kumzuia kukuchungulia. Kubali tu hali na ujitahidi kuishi nae vizuri maana jirani tayari ni ndugu yako.Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know.
View attachment 2933773
😂😂 Ila ww jamaa bhanaMm sijalima hzo kabechi niwatu nisio wajuwa wamevamia kiwanja changu na kupanda kabechi Ni hi Ni kawaida tu I'll nitawapa notice kuwa nitaanza ujenzi soon waaache kuotesha kabechi
Aah,hapo hama tu sasa...utateseka...afu ndo awe na mke Mwenye mdomo kama mie utajuta....kelele zote kwa bati lako🤣🤣🙌🏿But anyway am not happy Kwanza amekosea ujenz wake hata bati lake litakuja kumwaga maji kwangu huku
Kwaio nchi hii maghorofa yanapaswa kua posta pekee...kwaio ukikuta majirani wameezeka nyasi nawew hutakiw kuweka batiNimekijuwa kwa vile kwenye survey map jiji walio tupa inaonesha kwa viwanja na kila ukubwa wake hvyo hata yeye lzm Ana kopi na anajuwa changu Ni ukumbwa upi
Kama ghorofa akajenge post tu ,
Hata kigogo mmkbwa Sana wa serekali hi ya Samia nae kajenga hapo Happ na Wala siyo ghorofa [emoji23]
Yan kipapa unakiacha nje au mim sijaelewaUmenikumbusha nilikuwa naishi jirani na mtu mwenye gorofa. Na vile mimi nikishaingia getini ni kujiachia tu itakuwa alikuwa anakula chabo sana maana nilikuwa nikikutana nae anacheka cheka tu.
Ngoja apige chabo mkeo akioga.Wakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Kwan hapo kwako utakua unafuga majini ambayo unahis atayaona akiwa ghorofanSiyo kuniibia atakuwa na access ya kujuwa mengi kuhusu mm na vitu vinavyo fanyika hapo nnje kwangu
Duh mpaka hapa, uwezo wako wa kiakili ni mdogo, ila nisamehe kwa hili, it's natural thinking. Sasa tukianza hiviWakuu huyu jamaa simjui vizuri Ila nahisi ni mtumishi wa serekali ,Kwanza kiwanja chake Ni kikubwa kuliko changu Ni square meter 1200 na changu Ni square Mt 800.
Sasa kinacho Nipa mawazo Ni juu ya ujenzi wake alio uanzisha hivi karibuni ,anajenga gorofa ambapo ile balcony yake ya nyuma yote inameitazamisha kwangu.
Manake Ni Kwamba shughuli zangu zote zinaendelea kwangu anakuwa na Access ya kuona moja kwa moja akiwa kwake hata akiwa vyumba vya juu atakuwa wananiona na hii Ni hatari kwa usalama wangu na familia yangu kwa ujumla.
Mm Sina uwezo kwa Sasa wa kujenga gorofa ila itabdi ninyanyue ukuta kwa urefu mkubwa ili kuweza kumnyima access ya ku over view activities zangu hapo nyumbni.
Vingenevyo nitamuende nimuuzie hcho kiwanja changu mm nitafuta kwingine
Am stressed u know.
View attachment 2933773
Wee😂🤓, Ali faidi Sana🤒Umenikumbusha nilikuwa naishi jirani na mtu mwenye gorofa. Na vile mimi nikishaingia getini ni kujiachia tu itakuwa alikuwa anakula chabo sana maana nilikuwa nikikutana nae anacheka cheka tu.