nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
- Thread starter
- #21
KivipiNahitaji kuwa na upuuzi level gani mpaka kufikia hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KivipiNahitaji kuwa na upuuzi level gani mpaka kufikia hapa?
Unaogopa gf wako akijua kwani utamwambia wewe?Mswahili naogopa gf wangu akijua
SawaUnaogopa gf wako akijua kwani utamwambia wewe?
Nakuhakikishia uyo jirani yako ukishamlomba tu, hawezi kuthubutu kumkaribia gf wako wala kumwambia chochote kuhusu wew na hapo utakua umekata mawasiliano baina yao unakua kweny safe side. Try this utakuja kunishukuru
Hua nnakuheshimu mno[emoji2][emoji2]Kanye mlangoni pake.. halafu acha ujumbe andika hivi "hii ni trela bado picha lenyewe"
Kwahiyo Leo ndo itakuwa mwisho wa kuniheshimu..?😅Hua nnakuheshimu mno[emoji2][emoji2]
Hayo anayomwambia ni kweli!??Gf wangu kaniambia
Akafanyaje?Kwahiyo Leo ndo itakuwa mwisho wa kuniheshimu..?[emoji28]
Nimekosea wapi..?Akafanyaje?
Hahahaha kwannMkeka unakaribia kuchanika
Mpangaji mwezangu alafu anajulikana kama mdangaji na wapangaji wengneMtafune mkuu,,hakuna jinsi..
Nahisi atamghasi gf wanguNa yeye mtafune
Mtafune mkuu,,hiyo ni zaidi ya kujifukiza corona,,hyo ndy dawaMpangaji mwezangu alafu anajulikana kama mdangaji na wapangaji wengne
Hajaonja chakoMtu mwenyewe mdangaji
Mimba si mambo ya majukumu hayo hapana kwakweliAnamjaza maneno wewe mjaze MIMBA
Ndio dawa yake,anywe na alkasusa kabisaNye..ge tu ndio zinamsumbua
wewe mkaribishe chumbani kisha muone atasemaje