TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau..!
Jirani yangu ananisumbua sana kwa kelele nashindwa hata kupata usingizi .
Nimeanza kupata msongo wa mawazo kwa kelele zake ,nahisi kuchanganyikiwa.
Kiukweli amekuwa kero sana,kuna mda nawaza kununua dumu la petrol kama Grace maana amezidi kunikera yaani ningkuwa na chuma kama ya Alex wa Lemax nisingemuacha ningemmiminia kama mbuzi.😂😂😂
Jirani yangu ananisumbua sana kwa kelele nashindwa hata kupata usingizi .
Nimeanza kupata msongo wa mawazo kwa kelele zake ,nahisi kuchanganyikiwa.
Kiukweli amekuwa kero sana,kuna mda nawaza kununua dumu la petrol kama Grace maana amezidi kunikera yaani ningkuwa na chuma kama ya Alex wa Lemax nisingemuacha ningemmiminia kama mbuzi.😂😂😂