TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #21
ndio nawaza bei ya dumu la petrolKama vipi Mugrace Mushi ili ielweke.
Ila pole ndugu binafsi huwa sipendi kelele na vumbi sehemu nayoishi.yaani Yale makelele ya boda ama mamiziki tokea masaluni ama mabaani huwa yananikeraje
Ongea nae kistaarabu kama mtu mzima na jirani mwenzako.Mueleweshe kwamba mtoto anasumbuka kulala kwaajili ya kelele.Kama ni nyumba ya kupanga muhusishe na mmiliki wa nyumba juu ya kero unazopata.Kila mtu yupo kwake,ila ss ni balaa
Hama kwani nyumba za kupanga zimeisha?Mastori tu na mabishano na familia yake na umbea umbea kama yupo danguro
Npo kwangu sijapanga bossHama kwani nyumba za kupanga zimeisha?
Kelele za aina gani? Za masebene au za kunyanduana?Habari wadau..!
Jirani yangu ananisumbua sana kwa kelele nashindwa hata kupata usingizi .
Nimeanza kupata msongo wa mawazo kwa kelele zake ,nahisi kuchanganyikiwa.
Kiukweli amekuwa kero sana,kuna mda nawaza kununua dumu la petrol kama Grace maana amezidi kunikera yaani ningkuwa na chuma kama ya Alex wa Lemax nisingemuacha ningemmiminia kama mbuzi.πππ
Tozo gani?Kwenye pitapita zako umewahi kutana na kitu kinaitwa tozo mkuu?
MiamalaTozo gani?
Peleka mashtaka kwa mwenye nyumba wenu, mwenye nyumba kashindwa kamshtaki kwa mjumbenina mtoto mdogo kuna mda anatakiwa alale mchana kwa afya ya mwili na akili lakini fujo fujo ana mitoto na mijukuu kibao ikimpgia kelele anaifukuza inakuja kupiga kelele kwenye corridor zangu au dirishani kwangu inakela kweli.akianza kujibizana nayo au kupiga stori ndio balaa tupu kama nina nursery school nyuma ya nyumba yangu.
Unamdanganya mwenzako ,kelele pekee zinazokatazwa ni music.tv,au vifaa vya kazi ila sio kuongea,Umepanga au unaishi pako pa kudumu?
Kama ni pako ni jambo jepesi sana hilo.
Mburuze kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa, kama haeleweki msongeshe Katani, kisha mahakamani kabisa.
Kuna mtu mwingine anaweza kuwa anafanya kosa bila kutambua kama anakera watu, ila ukimstua namna hiyo ataacha.
Akiendelea, sasa hapo komaa naye kisheria, lakini chonde chonde mawazo ya kujichukulia sheria mkononi achana nayo huwa hayana mwisho mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kwako piga fence mbona unajipa stressNpo kwangu sijapanga boss
Kwani Katiba inasemaje?Habari wadau..!
Jirani yangu ananisumbua sana kwa kelele nashindwa hata kupata usingizi .
Nimeanza kupata msongo wa mawazo kwa kelele zake ,nahisi kuchanganyikiwa.
Kiukweli amekuwa kero sana,kuna mda nawaza kununua dumu la petrol kama Grace maana amezidi kunikera yaani ningkuwa na chuma kama ya Alex wa Lemax nisingemuacha ningemmiminia kama mbuzi.πππ
Mkuu maongezi ni kelele?Unamdanganya mwenzako ,kelele pekee zinazokatazwa ni music.tv,au vifaa vya kazi ila sio kuongea,
Kwenye uzi anaongelea kelele za maongezi,msome vizuriMkuu maongezi ni kelele?
Maongezi yako yanaweza kumnyima usingizi jirani?
Kelele kama kelele ambazo ni kero bila kujali zinatokea vyanzo gani ndiyo zinazo ongelewa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app