Jirani yangu wa kike simuelewi kabisa

Mwanamke amesema yeye ni mke wa mwanajeshi na wewe unataka kujichanganya. Haya mkubalie lakini Sisi tupo tunasubiri story mpya mtandaoni.

Au jaribu kuishi naye tuone kama ni kweli mke wa mtu sumu? Au asaliiii????
 
WEwe ni mzee, mwenzako ni kijana so kama wewe umeshajikatia tamaa usimshauri mwenzako akapoteze maisha kisa ujinga ngono ni upuuzi kabisa . Hajatumwa na wazazi wake kuja kutoooom ametumwa kutafuta pesa sio ushuzi ushuzi na ujinga
 
akipuuza hapa apakwe ufuta
 
Wewe ni njuka kwenye huo ulimwengu, I hope utakaribishwa vizuri sana na huyo jirani yako 😁😁😁
 
kama kweli hupendi madem wa watu muombe hera mara kwa mara...... mwenyew atakuacha
 
Na pia akasema jamaa yake ni mwanajeshi hivyo muda mwingi huwa anaenda nje ya nchi na amesha sema waachana ila jamaa king'ang'anizi
UNAONA HII POINT HAPA? SA WE JICHANGANYE.
 
Hujaskia mjeda kaua mtu huko majuzi kisa jamaa kashika kiuno mke wake kushika tu sio kumla, bado mna shobo na madem wa wajeda eh
 
Kama anavyomfanyia basha wake jiandae na wewe siku moja kufanyiwa hivo
 
utanyimwa maji kaka
we kausha.jifanye huoni
kaza rooo wewe ni alpha uspelekeshwe na mbususu ukaja kufa
we mtemeee na usrud tena usirud tena usrud tena
sku iz hawana huruma utanyimwa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…