Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Huyo wifi yako ni wa hovyo sana, bora walimfukuza mapema. Yaani unaambiwa usifanye hivi na unafanya. Vichwa vigumu kuelewa kama hawa ni kufukuza tu. Kuna siku angepewa hela apeleke bank yeye angepekeka kwenye betting.
 
Kuna epsode nitakuwa sijasoma
Nani alipoteza kiumbe tumboni
Ni episode no ngapi niipitie
 
Nimechoka kuwa na amani ngoja nifatilie maisha ya watu kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…