Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

I guess episode inayofuata vyenyewe ndio ya mwisho mbivu na mbichi zitawekwa bayana, pole sana the platform has never been fair. Tuishi hivyo hivyo.
Kweli Kabisa mkuu ila nimeona amesema ataendeleza vya Bembela sasa sijui ataweka humuhumu au kwingine!! Nahisi Big mwishoni lazima afe au hata kuaibika kupoteza nguvu zake za kishirikina kabisa kwani seems mkewe na mtoto wake walikua ni yeye aliejigawa kichawi Ndiomana walipomkuta ndani yuko hoi mkewe alikua kama amepotezwa kiufahamu wala hakustuka kabisa!
Ngoja tusubirie episode ya mwisho tuone itavyokua!
 
Mfano kama tamthilia za kina Etugrul,ni masimuliz ya zaman ya falme za ottoman lakin kuna vitu vinaongezwa ili kunogeshwa,wangesema ioneshwe kwa yale walioyafanya tu sizan kama ingevutia
 
Raia hawaelewi lawama juu ya lawama.
[emoji23][emoji23]
 
Antonnia ipi hiyo unayomwambia jombi akaisome? Nami nataka
Ahaaa na mjomba na wanafamilia wengine Wengi humu kuna kijiwe chetu hukoo sema mie nimezuiliwa kukoment kwa mwezi mzima mpaka march mkuu ndio nilikua nasemea!!
Pia kuna ile story ya Stivu 'Tukibaki hai tutasimulia nako iko Moto balaa ni bonge Moja la action muvi ila hajaimalizia bado
 
Ahsante naomba kuja sebuleni kwako mara moja chap, sijui mlango upo wazi.
 
Duuuu aisee huyo asingemaliza wiki angeondoka, niliwahi kupata mmoja mara aseme alitolewa kipepeo kichwani na irizi kavaa yan tafran story akikupa nikamwambia aende akawa hataki anasema atakaa hata bure asilipwe nilipohama dodoma nikamwambia sitoweza kwenda nawe we nenda kakae kwenu mambo yakiwa njema nitakuita
 
Alitaka kukuingiza chamani huyo au hata kumjumuisha mtoto wako. Nini kilimfanya mpaka akatae mshahara na sio kurudi kwao. Au huko kwao kulikuwa na sekeseke balaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…