Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Antonnia unaandika reply ndefu me nadhan ndo story😂😂😂
Hahaha sometimes huwa inakua hivo unaona mtu anatype mudaa hamalizi!! Halafu hata nilikua siandiki labda muda mchache nivomjibu Valentina hapo!
Naona mambo ni bampa to bampa Bembela kaamua liwalo na liwe!!
Siku umkamate mtu kama shangazi ake Bembela anazunguka nyumba utavomkomeshaa😂!
Afu nasikia wachawi wanapenda mapenzi kinonaa noma😁!
Na hekaheka zake zote unashangaa mtu tuliii anasikilizia utamu hahahaha
 
Kule docho letu mezuiliwa kwa mwezi mmoja huku ilikua ya wiki Moja tu!!
Acha tuendelee kumsoma Big kipenzi!
Sema nimewamiss hadi naumwaaaa!!
Wasalimie sana watu wangu wanguvu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]!

ERoni
Kumbe ukipigwa ban kuna baadhi ya forum hauingii?[emoji848]
 
Huyu msimuliaji ana vitu vifuatavyo:-
1. Ana kiasi kikubwa sana cha umbea, kuacha uaingizi saa tisa usiku kukaa dirishani kuangalia nani ataingia.
2. Ulinzi ungemfaa zaidi kuliko kazi anayofanya kwa sasa, haiwezekani ukeshe usiku kucha kulinda nyumba kwa niaba ya wapangaji wote ambao hawajakuomba.
Utakuwa ni mwizi wewe
 
Nimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.

Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?

Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.

Napokea vyote maua na mawe.
Achana nae ukiona mtu anakereka na wewe kua makini kiusalama ujue ni muhalifu
 
Kwahiyo SteveMollel ule mdomo wako uliopinda ulikuwa bado uko vile vile mpaka dakika hiyo munaenda kuvunja ghetto la muhuni BIG

Halafu yale maelezo ya yule dada wa pharmacy kuwa umebahatika kuwa hai hayakuwa yakikuingia uende hospitali haraka
 
Nadhan tumuache huenda huko mbele tutaelewa,lkn kuna matukio nikiyaunga kama mwanaume mwenye ndoa naona kuna namna angepaswa kutueleza,kwa mfano alivyosafiri angerud lzm angeongea na shemej yetu kujua kama zile purukushan ziliendelea au zilikoma,,ila anyway tunywe mtori.
Yaani asimulie mnavyotaka nyie?
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Achana nayo pita hivi
 
Back
Top Bottom