Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Heeeeeeeehhh kupita mlangoni na mlango umefungwa? Duuuuuhhhh! Dunia ina mauzauza sio poa mkuu!!

Sasa juzikati nilipata Binti wa kazi kwao walikua walozii nyieeee ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!
Ni alikua anatokewa na mauzauza hadi nilimrudisha kwao ghafla tu sikuwaziii na namna!

Eti mtu mmelala ndani Usiku binti yeye anasikia geti kama linagongwa gongwa kwanguvu na chuma muda mwingine kama linatikiswatikiswa ile ya kudisturb mtu alielalaa sasa hapo anayesikia hivo ni yeye tu sasa unamsikia binti anafungua ili aone nani anapigapiga vile yeye anavofungua mlango unamsikia unatoka kumuuliza anafungua kwenda wapi?? kufanya nini?? Anakusimulia anavosikia hapo wewe hata huoni wala kusikia chochote unabaki kutoa macho tu. Siku nyingine anatokewa na watu anawaona wanaelea juu ya kichwa chake mara awaone juu ya dari huko watu wawili wamejifunga mabegani kama mashuka mekundu kichwani hadi usoni wamejipaka maungaunga meupee anakwambia anawaona wanamwita kwa kurudia rudia ' Noela njoooo Noela njoooo Noela njoooo' ivoivo huku kama wanamvuta sasa kuna muda unasikia anaongea nao kama wanabishana hivi kuna siku nivomsikia nikashtuka kutega vizuri sikio nasikia mtu anaongea kwanguvu chumbani kwakee nikaamka kwenda kuangalia ninini anasema tangu alivoenda kulala tu hajasinzia kabisa Hao watu walimtokea wanamuita... mara wabadilike kuwa watu kabisa ambapo aliona kibibi kizee fulani cha kwao ( ni jirani yake) na mbaba wa makamu mara hapohapo wanabadilika kuwa kuku mara ng'ombe mara dude ambalo hata halieleweki hio siku alitoka nje Usiku mlangoni kwake akakuta kisu kina damuu .. hirizi nyeusi na tudawa dawa kama vumbi la mkaa..yeye pekee ndio anaviona Hivo vitu nyie wengine hata hamuoni! baby zu Kalpana
Kheeee bora ulimrudisha sisy..
Mi kunq mmoja alikua anaota manyoka nyoka kila.siku akampigia baba yake siku hyo aliweka loud speaker eti baba yake anasema hao ni walinzi wake asiogope watakuja sana tuu...yani chatu nikasema iswe tabu bora arudi tuu kwao
 
Kheeee bora ulimrudisha sisy..
Mi kunq mmoja alikua anaota manyoka nyoka kila.siku akampigia baba yake siku hyo aliweka loud speaker eti baba yake anasema hao ni walinzi wake asiogope watakuja sana tuu...yani chatu nikasema iswe tabu bora arudi tuu kwao
Sasa hio cha Mtoto sis ...Akawa anasema haoni nguo zake za ndani( Kyupis) eti zinapotea from nowhere tu na hajui zinakoenda mtu chumbani kwake yupo yeye tu..Mara aseme anakuta nguo zake zimekatwa kiunoni namuuliza hizo zilizokwatwa ziko Wapi namie nishuhudie anasema ameshazichoma yani Sijawahi zishuhudia zaidi ya malalamiko yake tu kuwa anakuta zimekatwa.. Alikaa wiki 3 tu chupi 4 zilipotea sketi 2 zilikatwa na taiti moja... zinakoenda anayefanya hivo eti nayeye haelewi!

Mara mkipika siku nyingine haliii ile mmemaliza kupika tu akiweka tonge mdomoni analalamika tumbo linauma kama anakatwa na kisuuu namwambia basi kunywa hata maziwa tu au chai vilevileee... Najikuta namnunulia matunda mengi mengi namlazimisha ale asije kunifia mtoto wa watu! Wiki tatu tu nikamrudisha kwao !
 
Weekend hii tumekaa kama mzuzuta, sioni cha kuangalia kwenye Tv nimekaa kaa tu! Na humu ni patupu[emoji26][emoji22]
 
ndio hivo ukiona basi mpya jua kuna mengi tusiishie tu kuyaona barabarani, kuna mambo mengi ya kishirikina yamefanyika had kua hapo
Duh, haya mabasi ya Nacharo tulikuwa tunayakodisha kuwapeleka na kuwarudisha watoto shule wakati wa likizo, kumbe ndio mambo yao yako hivyo....thanks God mwanangu amemaliza salama. Sasa ni kuzidisha maombi tu kwa watoto waliobaki wasije kuwatoa kafara jamani manake bado wanayatumia
 
Kazi iendelee
20230219_141243.jpg
 
Duh, haya mabasi ya Nacharo tulikuwa tunayakodisha kuwapeleka na kuwarudisha watoto shule wakati wa likizo, kumbe ndio mambo yao yako hivyo....thanks God mwanangu amemaliza salama. Sasa ni kuzidisha maombi tu kwa watoto waliobaki wasije kuwatoa kafara jamani manake bado wanayatumia
Itakuwa Rosmini
 
Back
Top Bottom