Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Antonnia unaandika reply ndefu me nadhan ndo story😂😂😂
Hahaha sometimes huwa inakua hivo unaona mtu anatype mudaa hamalizi!! Halafu hata nilikua siandiki labda muda mchache nivomjibu Valentina hapo!
Naona mambo ni bampa to bampa Bembela kaamua liwalo na liwe!!
Siku umkamate mtu kama shangazi ake Bembela anazunguka nyumba utavomkomeshaa😂!
Afu nasikia wachawi wanapenda mapenzi kinonaa noma😁!
Na hekaheka zake zote unashangaa mtu tuliii anasikilizia utamu hahahaha
 
Kule docho letu mezuiliwa kwa mwezi mmoja huku ilikua ya wiki Moja tu!!
Acha tuendelee kumsoma Big kipenzi!
Sema nimewamiss hadi naumwaaaa!!
Wasalimie sana watu wangu wanguvu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]!

ERoni
Kumbe ukipigwa ban kuna baadhi ya forum hauingii?[emoji848]
 
Utakuwa ni mwizi wewe
 
Achana nae ukiona mtu anakereka na wewe kua makini kiusalama ujue ni muhalifu
 
Kwahiyo SteveMollel ule mdomo wako uliopinda ulikuwa bado uko vile vile mpaka dakika hiyo munaenda kuvunja ghetto la muhuni BIG

Halafu yale maelezo ya yule dada wa pharmacy kuwa umebahatika kuwa hai hayakuwa yakikuingia uende hospitali haraka
 
Yaani asimulie mnavyotaka nyie?
 
Achana nayo pita hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…