Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

mamy, huo ndio uhalisia na ni bora mtoto amemaliza pengine Mungu amemuepushia na vingi mbele hatujui ya mbele, yanaanzaga hivohivo mara yamepiga mzinga
 
[emoji304]
 

Ndiyo...
 
Ahee🥰🥰🥰
 
😂😂
 
Mambo kama hizi zilinifanya mimi nikaachana na story yangu ‘Nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu wala rafiki kule’

Watu humu wana ujuaji mwingi wakati mtu anaelezea story ya kweli ya maisha yake
Kumbe upo mkuu!
Watu walivyoukosa ule mwendelezo wakahisi umeshafariki! Mungu akutunze Jamani
 
Hii yenyewe hata sijasoma.


Dah ,nilipitia pitia comments zako za mwisho nikajiuliza huyu mtu kakosea wapi jamani

Chaa [emoji1787]
Mm ningewananga hao mod hadi wakome
Wee unajua mie nilivo mpole kipenzi siwezagi kabisa kulumbana!
Sikupatiii picha venye ungewararua watu wanakuchokoza na kudiriki kukutag kabisa as if wanakujua nje ndani maisha yako nje ya jf hahaaaa !! Wanataka uishi watakavyo waooo hahaa. Eti na cocaa nae kule Mwezi mzima! C putin nae yanii !🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮

Isome hii ni nzuri sana..sema episodes za mbelee mbelee ndio zinapicha kamili! Ile Siku nilijua uliisoma doh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…