Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Bora hata akina Coca na Putin huwa wana lugha Kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe kukulima ban kwa hizi comments za huu uzi unaohusu stori aisee walikuonea bure[emoji1787]
Huku kwenye huu uzi kwa kweli sikuona popote ulipopishana na mtu.


Ngoja nianze mdogo mdogo.
 
Nilikua namjibu kuhusu kutokukoment kule!!
Yani shangaa Nawewe!! Ila siku hazigandi!
 
Weee Get rich akili zako zilivo mbili kasoro hivoo 😂😂😂😂!!
Santo sana 😘!
😋🥰🥰🥰🥰 Antonnie we uje tu my quinie

akili zangu 2 jumlisha zako 3 tunasongesha life kama kawa🥰
 
Inawezekana ni huyo ninaemhisi mimi au?,sababu siku hizi simuoni akipost fb tena
 
Biashara lazima zilindwe na wazeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umeshaonaga au kusikia story za wachina wachina kujenga madaraja makubwa na yaliyokaa sehemu hatari hatari
 
Huo sasa uchawi
 
Mmmmmmh[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…