Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Wee unajua mie nilivo mpole kipenzi siwezagi kabisa kulumbana!
Sikupatiii picha venye ungewararua watu wanakuchokoza na kudiriki kukutag kabisa as if wanakujua nje ndani maisha yako nje ya jf hahaaaa !! Wanataka uishi watakavyo waooo hahaa. Eti na cocaa nae kule Mwezi mzima! C putin nae yanii ![emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Isome hii ni nzuri sana..sema episodes za mbelee mbelee ndio zinapicha kamili! Ile Siku nilijua uliisoma doh!
Bora hata akina Coca na Putin huwa wana lugha Kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe kukulima ban kwa hizi comments za huu uzi unaohusu stori aisee walikuonea bure[emoji1787]
Huku kwenye huu uzi kwa kweli sikuona popote ulipopishana na mtu.


Ngoja nianze mdogo mdogo.
 
Bora hata akina Coca na Putin huwa wana lugha Kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe kukulima ban kwa hizi comments za huu uzi unaohusu stori aisee walikuonea bure[emoji1787]
Huku kwenye huu uzi kwa kweli sikuona popote ulipopishana na mtu.


Ngoja nianze mdogo mdogo.
Nilikua namjibu kuhusu kutokukoment kule!!
Yani shangaa Nawewe!! Ila siku hazigandi!
 
Weee Get rich akili zako zilivo mbili kasoro hivoo 😂😂😂😂!!
Santo sana 😘!
😋🥰🥰🥰🥰 Antonnie we uje tu my quinie

akili zangu 2 jumlisha zako 3 tunasongesha life kama kawa🥰
 
nina wifi yangu alipata kaz nacharo mwaka jana moja ya masharti ni kutokuvaa nguo za rangi nyekundu, akajisahau siku hio akapiga tshirt nyekundu na suruali nyeusi juu aktupia baibui na mtandio kilichomponza ni lile baibui kupepa naupepo ni yale ambayo mbele yana uwazi vifungo kwa juu tu bosi mwenye gari zake akmuona akamfukuza kma mbwa nakumwambia yeye ni mikosi nanuksi katika biashara yake had leo anahangaika kutafta kaz nakazi yenyewe haikudum hata mwezi tangu aipate na aikose.
Inawezekana ni huyo ninaemhisi mimi au?,sababu siku hizi simuoni akipost fb tena
 
nilimuuliza hukuyajua hayo masharti kabla akasema alikua anayajua lakini hio siku alisahau anajikuta kashafika mbali ndio anakumbuka akaenda hivohivo yakamkuta hayo nikajisemea hizi bus mpya mimi ndio mana naogopa kupanda mana hazikawii kupiga mzinga kwa makafara na kwa hapa tanga nacharo sasa hivi ndio kama div one point nine!!
Biashara lazima zilindwe na wazeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
nilimuuliza hukuyajua hayo masharti kabla akasema alikua anayajua lakini hio siku alisahau anajikuta kashafika mbali ndio anakumbuka akaenda hivohivo yakamkuta hayo nikajisemea hizi bus mpya mimi ndio mana naogopa kupanda mana hazikawii kupiga mzinga kwa makafara na kwa hapa tanga nacharo sasa hivi ndio kama div one point nine!!
Umeshaonaga au kusikia story za wachina wachina kujenga madaraja makubwa na yaliyokaa sehemu hatari hatari
 
Mbona haya tunayo kila siku. Na yapo dunia nzima. Nakumbuka nilishawahi kuishi sehemu moja hapa dar. Jamaa ana watoto mapacha wawili wana kama ten years na hawajawahi kutembea. Siku ukisikia ndani kwake huko gorofani wanalia usiku mzima. Basi kuanzia kesho biashara zake ni full neema. Na mke ni marufuku kutoka nje ya geti. Iwe msiba wala sherehe.
Huo sasa uchawi
 
Heeeeeeeehhh kupita mlangoni na mlango umefungwa? Duuuuuhhhh! Dunia ina mauzauza sio poa mkuu!!

Sasa juzikati nilipata Binti wa kazi kwao walikua walozii nyieeee [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Ni alikua anatokewa na mauzauza hadi nilimrudisha kwao ghafla tu sikuwaziii na namna!

Eti mtu mmelala ndani Usiku binti yeye anasikia geti kama linagongwa gongwa kwanguvu na chuma muda mwingine kama linatikiswatikiswa ile ya kudisturb mtu alielalaa sasa hapo anayesikia hivo ni yeye tu sasa unamsikia binti anafungua ili aone nani anapigapiga vile yeye anavofungua mlango unamsikia unatoka kumuuliza anafungua kwenda wapi?? kufanya nini?? Anakusimulia anavosikia hapo wewe hata huoni wala kusikia chochote unabaki kutoa macho tu. Siku nyingine anatokewa na watu anawaona wanaelea juu ya kichwa chake mara awaone juu ya dari huko watu wawili wamejifunga mabegani kama mashuka mekundu kichwani hadi usoni wamejipaka maungaunga meupee anakwambia anawaona wanamwita kwa kurudia rudia ' Noela njoooo Noela njoooo Noela njoooo' ivoivo huku kama wanamvuta sasa kuna muda unasikia anaongea nao kama wanabishana hivi kuna siku nivomsikia nikashtuka kutega vizuri sikio nasikia mtu anaongea kwanguvu chumbani kwakee nikaamka kwenda kuangalia ninini anasema tangu alivoenda kulala tu hajasinzia kabisa Hao watu walimtokea wanamuita... mara wabadilike kuwa watu kabisa ambapo aliona kibibi kizee fulani cha kwao ( ni jirani yake) na mbaba wa makamu mara hapohapo wanabadilika kuwa kuku mara ng'ombe mara dude ambalo hata halieleweki hio siku alitoka nje Usiku mlangoni kwake akakuta kisu kina damuu .. hirizi nyeusi na tudawa dawa kama vumbi la mkaa..yeye pekee ndio anaviona Hivo vitu nyie wengine hata hamuoni! baby zu Kalpana
Mmmmmmh[emoji848]
 
Back
Top Bottom