Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Hizi sarafu hata niione njiani siiokoti
mwaka 2017 nilikuwa soko la moshi mjini MBUYUNI nikamwona mmama ameangusha chini sarafu kwa makusudi, pembeni kulikuwa na muhuni akaiokota ile sarafu alaf akamfuata yule mama akamwambia mama ela yako hii umeitupa pale chini, yule mama aliikataa katakata, yule muhuni akamshikisha mkononi kinguvu aah yule mama wa kichaga aliwaka kinoma akawa anakwepesha mkono adi akashikishwa akaitupa chini,

lile tukio mimi nilikuwa nalishuhudia kwa macho yangu. sijui aliimbilizia nin kwenye ile sarafu, na sijui yule mwamba aliyeishika alidhurika ama lah
 
Ile khali sana!
 
Hizi sarafu hata niione njiani siiokoti
Juzi nimetoka dukani na mtoto wangu akaokota 200 njiani. Nilipokumbuka huu uzi niliogopa nikamwambia aiache hukohuko nje tusiingie nayo ndani. Hapa nimetoka kuiangalia ipo pale pale tulipoiacha.
Kuna roho tuu iliniambia hiyo hela usiingie nayo ndani wala usichanganye na hela nyingine
 
Asante mkuu kwa stori nzuri. Ila huko ulikoenda kuoa daah.
anyway mungu akupiganie.
 
Vipi kuhusu Tarimo alipona? Na kuhusu jambo alilokua akihitaji muonane mpaka anapata ajali alikuambia?
Ila kweli hapa stevemollel ili bidi atuambie...maana alisema Tarimo anaendelea vzuri kiasi cha kutaka kuruhusiwa kurudi nyumbani...nilikuwa na shauku sana ya kujua Tarimo alitaka kusema nn kuhusu Big mtu mbadi? Anyway labda SteveMollel labda aliona haina tena haja baada ya kuona Big ashahama ulimwengu kabisa na sio nyumba tu [emoji1] [emoji38] [emoji1787].
 
Nmehama nyumba kadhaa yaan kila nikiamka nimechanjwa kila nikiamka nimechanjwa na ni maumivu makali sana nayapata wakati wa kuoga.Haijapita muda nmehama zangu hakuna mchanjo wala kuchanjana...kha mi uchawi sijui ushirikina sitak kbs.Yaan hata nikishajua kunamtu niko nae around ni mshirikina hatoniona karibu yake tena.Mchawi ni mtu mbaya sana.

Pole sana mr SteveMollel ndio maisha haya.Tusimuache Mungu na Tujitakase nafsi zetu.
 
Haya tunashukuru! Hamia kule maana umeacha ngoma mbiiichi kabisa
 
Mmmh noma sana
 
Ninyi misukule ya Steve Mollel mnafanya nini humu ? Au mnasubiri kabegi na furushi la mizoga ya big ?
 
Nt
Ntarudi kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…