Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Story inaukakasi kidogo?


Mwanzo wa story ulisema una mke na familia kubwa

Ila ndani ya story mkeo kaja kuonekana sehemu ya 7

Vipi apo brother
Boss sasa anawazungumzia vipi kama part yao ilikuwa haijafika....kwenye picha sio lazima star family yake ionekane au aonekane akifanya vitu vifuatavyo
Kula, Kuoga, sex, kulala na kama havina sababu ya kuonekana...
 
Mkuu endelea..Maswali yaende darasani..
 
Huyu msimuliaji ana vitu vifuatavyo:-
1. Ana kiasi kikubwa sana cha umbea, kuacha uaingizi saa tisa usiku kukaa dirishani kuangalia nani ataingia.
2. Ulinzi ungemfaa zaidi kuliko kazi anayofanya kwa sasa, haiwezekani ukeshe usiku kucha kulinda nyumba kwa niaba ya wapangaji wote ambao hawajakuomba.
 
[emoji58][emoji58][emoji58]
 
Hii nayo kali sana tunapaswa tuimalize
 
Nimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.

Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?

Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.

Napokea vyote maua na mawe.
 
Mkuu tuendelee achana na hawa wasaga sumu.
 
Ukivuta hisia, INA mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…