Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Mlikuwa mnamix mzigo pamoja dah,nimecheka sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ilikuwaje nawe ukawa unajisaidia ndani🤣😃
 
Unataka umwone na mtoto akiwa anacheza? [emoji1] Aisee, kama kuna tukio litamhusisha nitamtaja kama hamna hutokaa umwone kamwe ili nikupe wewe wasaa wa kuiandika familia yako vizuri hapa.
Unahasira? We endelea kusimulia hadithi yako. Tatizo ni langu nilifikiri ni matukio ya kweli kumbe hadithi njoo, uongo njoo utamu kolea. Uliopofata viroba vyenye vitu vilivyooza gizani na ukashika hadi kichwa cha mbuzi kwa mikono mitupu niligundua uongo njoo.
 
Mwamba ulitisha huo ndo uwanaume[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimecheka kama saa mbovu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Duu tutapata wapi mwendelezo
 
😂😂😂 dah
 
They same t me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…