Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

@Demi
 
story ya huyu jamaa haina tofauti na series za kihindi. mara nyingi huwa na visa vingi ambavyo ni useless ktk movie. lengo lao ni kurefusha urefu wa series ili kuwe na episode nyingi.
Ikiwemo na vikota😀😀
 
Tatizo Masai wanahasira Sana,..usije kuta kapandisha Mori huko 😄😄,...kwanza nnawasiwasi Masai gani anakunywa mbege ilifaa anywe loshoroo akishushia ugoro!!...sheer!
 
Simulizi nzuri ila burudani zaidi inatoka kwenye malumbano ya wachangiaji. Kwa kweli ukiwa na stress pitia tu JF zitqisha
Wanalumbana na kupeana majibu wenyewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna mahali msimuliaji alisema ni story tu, lakini kwa mtoto aliyekufa anasema "nadhani watu mlioishi eneo hilo mnakumbuka vizuri kifo cha mtoto huyo kilivyoleta utata" Labda story ina ukweli kiasi na kuongezewa chumvi nyingi ili inoge.
Hujawahi kucheki movie halafu kuna sehemu unawasikia wakisema ...kama movie vile!!...
 
Reactions: ARV
Tatizo Masai wanahasira Sana,..usije kuta kapandisha Mori huko 😄😄,...kwanza nnawasiwasi Masai gani anakunywa mbege ilifaa anywe loshoroo akishushia ugoro!!...sheer!
Hujashangaa masai anajua simulia tena kwa kiswahili kilicho nyooka!?!.. haya twende pamoja ......
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]litro umenifanya nicheke sana
 
Tatizo Masai wanahasira Sana,..usije kuta kapandisha Mori huko 😄😄,...kwanza nnawasiwasi Masai gani anakunywa mbege ilifaa anywe loshoroo akishushia ugoro!!...sheer!
Kuna maasai wa porini...njere na kuna masai wa mjini yaani maasai ma masai🤣🤣🤣
Masai wa mjini ameendelea sana amejenga kisasa mno, mfugaji wa zero grazing, na ni matajiri...ukoo wa Mollel ndio ukoo tajiri zaidi kuliko masai na maasai wengine kama akina Laiza, ma kivuyo.

Hivyo usimchukulie poa kivile🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…