kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Saver tunalipia mkuu?Aweke summary inatosha siyo kuja kujaza jaza saver za watu hapa
Kma mm Ni Dr uchwara na wee Ni kurunzi uchwara tu [emoji19]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye kuteseka nayo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....ila sisi binadamu ni wa kushangaza sana.....kitu unakiponda na kukikosoa lakini bado unakomaa nacho badala ya kukipotezea teh tehh......ila utofauti huo huo ndio unafanya maisha ya balance na ndio burudani yenyewe ya maisha.Leo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndio naona hapaaa ndondi zinatembea kwakwenda mbele [emoji16][emoji16]!
Watu wanashauku na Big hahaaakama vipi aseme tuendelee na ishu zingine au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] kisiwaga nashukuru kwa kunisadia kupambna na huyu mjinga umugakaSasa si uweke muendelezo basi we ndezi
Finally Nimemaliza sasa tutaenda sambambaaa!!
Bado hajatupia mkuuAmetupia?
Mwendo wa kawaida ila wajuzi ndio wanaojaza comment tena ukizisoma nyingi zimebeba mada tofauti,ni huzuni kwa fanani na hadhira yakeInakimbia hadi sio poaa... sijui ndio koments za waja zinaikimbiza hivi!! lol Naona vurugu kama kule kwa masta tu hahaa!!
Hata mie nimeona hilo nilikua naogopa kuwa imeenda sana kumbe porojo za watu ndio nyingi!!!Mwendo wa kawaida ila wajuzi ndio wanaojaza comment tena ukizisoma nyingi zimebeba mada tofauti,ni huzuni kwa fanani na hadhira yake
Bwana moleli leta story acha mbambamba mkuu la s hvyo utafatwa ulipo uadidhie vzrLeo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Hii story yake episode Sio ndefu sana kama ile ya tukibaki hai titasimulia so nilikua focused sikusoma koments nyingine za wajaaa..... Finally tunaenda sambamba !!! Akitupia usisahau kunitag mkuuu!Doh!,,spidi yako sio ya nchi hii🤓
Kuna mwenzako kule kwa UMUGHAKA kilimkuta kitu we endeleaInaendelea...
Naam siku iliyofuata nikaamka asubuhi kama kawaida yangu kuwa wa kwanza kuamka, ile kufungua mlango dah! nikamuona Big akiwa na wenzake kama sita wakiwa vifua wazi huku wamefunga vikaniki wamezunguka duara! Kuangalia vizuri katikati ya duara kuna maiti ya yule mtoto wa jirani ambae tumetoka kumzika jana yake.
Niliamsha wapangaji wenzangu kimya kimya na nikatoa pikipiki yangu kisha nikawapa lifti ili nyumba tumuachie Big maana amezidi. View attachment 2511561
Hii mpya kuielewa yataka kuacha kazi kufanya kazi,kuna kipindi nilikuwa siingii zaidi ya mwezi afadhali hv sasa ndio naielewa elewa kidogoHii mpya nafikiri labda haijaboreshwa,ila imewakimbiza sana wanaJF. Wengi haiwapendezi. Mimi siikubali kabisa. Ile nyingine ya zamani muundo wake tu ule ulikuwa unachangamsha sana vile ilivyo. Hii mpya nimejitahidi sana kuifuatilia lakini bado hainibariki kabisa. Niwaombe tu wamiliki wavumilie sana kwa sasa ile ya zamani iendelee kuwepo tu