Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Leo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Hapo kwenye kuteseka nayo sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....ila sisi binadamu ni wa kushangaza sana.....kitu unakiponda na kukikosoa lakini bado unakomaa nacho badala ya kukipotezea teh tehh......ila utofauti huo huo ndio unafanya maisha ya balance na ndio burudani yenyewe ya maisha.
 
Leo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Bwana moleli leta story acha mbambamba mkuu la s hvyo utafatwa ulipo uadidhie vzr

Halfu ujatumbia wee kwa kipindi chote unamfatilia bigi demu ,mkeo alikuwa wapi na Ni Muda gani unatumia kumnyandua mkeo kas kufatilia maisha za watu
 
Doh!,,spidi yako sio ya nchi hii🤓
Hii story yake episode Sio ndefu sana kama ile ya tukibaki hai titasimulia so nilikua focused sikusoma koments nyingine za wajaaa..... Finally tunaenda sambamba !!! Akitupia usisahau kunitag mkuuu!
Labani og ushapita pande hii!???
 
Inaendelea...

Naam siku iliyofuata nikaamka asubuhi kama kawaida yangu kuwa wa kwanza kuamka, ile kufungua mlango dah! nikamuona Big akiwa na wenzake kama sita wakiwa vifua wazi huku wamefunga vikaniki wamezunguka duara! Kuangalia vizuri katikati ya duara kuna maiti ya yule mtoto wa jirani ambae tumetoka kumzika jana yake.

Niliamsha wapangaji wenzangu kimya kimya na nikatoa pikipiki yangu kisha nikawapa lifti ili nyumba tumuachie Big maana amezidi. View attachment 2511561
Kuna mwenzako kule kwa UMUGHAKA kilimkuta kitu we endelea
 
Hii mpya nafikiri labda haijaboreshwa,ila imewakimbiza sana wanaJF. Wengi haiwapendezi. Mimi siikubali kabisa. Ile nyingine ya zamani muundo wake tu ule ulikuwa unachangamsha sana vile ilivyo. Hii mpya nimejitahidi sana kuifuatilia lakini bado hainibariki kabisa. Niwaombe tu wamiliki wavumilie sana kwa sasa ile ya zamani iendelee kuwepo tu
Hii mpya kuielewa yataka kuacha kazi kufanya kazi,kuna kipindi nilikuwa siingii zaidi ya mwezi afadhali hv sasa ndio naielewa elewa kidogo
 
Back
Top Bottom