Kweli eeehh!!Watafute wajuzi wakuandikie
Hahahaaa... hapana bado hajatupia sema ndio nimeimaliza muda si mrefu nilikua Naona koments nyingi kuwa sitoimaliza kumbe blah blah zawatu ndio zinajaza koments tu ila sasa tutaenda sambambaaa 💃✌️!Nikajua steve katupia, kumbe ni Antonnia na mabest zake
Ha ha ha ha...alafu anajiita Dk🚮Kama uandishi ndo huu wa kukozoa I have no further comments addressed to you.
Daaa dunia ina mengiKweli eeehh!!
Halafu wachawi wanapenda sana mimbaaaa ..vitoto vichanga na watoto wa kiumee wakwanzaa wanaina lango wenyewe!!
Hio ya mke wa Steve kuota imenikumbusha kipindi fulani nilikua nalala na mjamzito.... huyo ndugu yanguu...alikua anaota ota anaweweseka sana ndotoni namsikia kama analalamika kama anatoa sauti fulani ambayo nikiyasikiliza vizuri manenoo siyaelewi anatamka maneno gani!
kwakua Kwakua ni mjamzito namuacha alale nisimkatishe usingizi wake heee akiamka namuuliza mbona kuna muda ulikua umelala nilisikia hivi na vilee nayeye anakumbuka anasema alikua anaota na ndotoni aliwaona watu fulani ila walikua wanamfuata kishari Hivi sasa ile kukimbia ili kuepuka kupambana nao ndio akawa kama analalamika kwa sauti kubwaaa ya kuomba msaaada kwangu nilieko pembeni yake yeye anaona kama ananiita kwa nguvu sana ilhali pia anaona sisikii chochote so anakua a anabaki kuhangaika Huku mimi nasikia tu mtu anatoa sauti fulani ila matamshi siyasikii vizuri!
Yaniii acha kabisa mamyyy... Ushawahi kuona umekaa chumbani unaona moto unawaka kitandani ambako hakuna switch kiberiti wala kiashiria chochote cha moto????Daaa dunia ina mengi
Dunia ina vimbwanga vingi sanaYaniii acha kabisa mamyyy... Ushawahi kuona umekaa chumbani unaona moto unawaka kitandani ambako hakuna switch kiberiti wala kiashiria chochote cha moto????
Hata mm nasubiri kusikia hatma ya ile hamsini ipoje (aliifanyia nn)Hio sh 50 uloiokota Steve umechukua mikosiiiiiiiii!!
Wachawi/walozi wanapenda sana kutumia pesa za sarafu kwenye shirki zao / maulozi yao
Ilitokea kibibi kizeee au mtu ambae unajua/ kuhisi ni mchawi akakuomba sh 50 ...100 au hata 200 usimpee hio ya coin moja kwa moja mpe Ya note ikiwezekana kubwa kabisa akatafute chenchi mwenyewe akurudishie yeyee!!
Giza lina mauzauza sio poaahhh!!
Sana mkuu!Dunia ina vimbwanga vingi sana
Watu wabaya katika ulimwengu wa giza wakikuomba hela ndogo hio ukawapaaa kama wanalengo baya nawewe wanaenda kuifanyia madawa ndio wanakumaliza/ kukuangamiza kiuchumiiiii...Hata mm nasubiri kusikia hatma ya ile hamsini ipoje (aliifanyia nn)
Tatizo lako hufungui PM tufahamiane vizuri. Me nmekupenda 😅
Usiku ndio huu mkuu.....fanya mambo, Bigi ametuweka roho juu...tunataka kujua ni nn hasa kilikuwa ndani yakeee...maana familia ya Bigi inaishi kwa usir mkubwa sana aisee...yeye mwenyewe haeleweki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....dunia ina visanga hiiLeo tutaendelea majira ya usiku. Sipunguzi chochote wala kuongeza chochote, ukiona haiendani na matakwa yako, ignore au endelea tu kuteseka nayo.
Hao ndio binadamu.....hatupendezwi na jambo moja kwa pamoja.....hata katika mafanikio huwa hiv hiv...sio wote watakao kubaliana na hatua unayochukua japo haiwahusu ila watakuandama sana tena ndio wakiona unaenda kufanikiwa.Walimwengu, mtu amekaa chini ameandika story mwenyewe , Hujalazimishwa kusoma Wala hujaitwa kusoma halafu nyenyeeee kibao
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Aisee 😁😁Walimwengu, mtu amekaa chini ameandika story mwenyewe , Hujalazimishwa kusoma Wala hujaitwa kusoma halafu nyenyeeee kibao
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Nashukuru kwa ushauri maana mauza uza yapo tunaishi nayo kitaa....vinginevyo uwe mcha Mungu 100%. Vinginevyo watakupata tu.Watu wabaya katika ulimwengu wa giza wakikuomba hela ndogo hio ukawapaaa kama wanalengo baya nawewe wanaenda kuifanyia madawa ndio wanakumaliza/ kukuangamiza kiuchumiiiii...
Ksbb unamuogopa sanaKwa kweli kila naposoma story hii kwenye mhusika Big inakuja taswira ya huyu hapa dah sijui kwanini!