Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Binafsi nampongeza Mwandishi, Mimi siwezi kuandika kama yeye. Naona furaha kuona watu wa namna yake.

Kama Kuna makosa ni kidogo sana. Siwezi kuhukumu mtu, nimejileta mwenyewe kusoma alichoandika .

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Ungekua unamuamsha
 
Binafsi nampongeza Mwandishi, Mimi siwezi kuandika kama yeye. Naona furaha kuona watu wa namna yake.

Kama Kuna makosa ni kidogo sana. Siwezi kuhukumu mtu, nimejileta mwenyewe kusoma alichoandika .

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu, sisi tunataka burudani mambo ya uhariri hata hayatuhusu
 
Dooo
 
Duuh...! Kumbe duniani kuna watu wanaishi kiajabu,halafu mnasingizia ksbb huna hela. Sasa kujinyea na kutokuwa na hela vinaendana?
 
Duuh...! Kumbe duniani kuna watu wanaishi kiajabu,halafu mnasingizia ksbb huna hela. Sasa kujinyea na kutokuwa na hela vinaendana?
Mkuu ningekua na ela ningenunua maji ya madumu ninye chooni nimwage maji au niamie njiro kwenye maji bwerere mimi nlikua kwa siku nameki elf3 to 5 ninunue maji ya kuoga kunywa kupikia af na ya kumwaga toi burebure no way
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bigi huyo anatishaaa namambo yake yakutoeleweka ni mchawi au jambaziiii?
Yani mpk sasa hatuelewi kabisa ni tafrani
 
Mtu bundle umenunua mwenyewe kwa hela yako,device ni yako muda ni wako kila kitu ni chako but toka post #180 sasa story ipo post 1K+ wewe bado upo hapa unasoma and still unalalamika kwanini usiachane na hili jambo?

Mnaolalamika kuweni kama mimi tu nimeamua kusoma kujifurahisha as long as simlipi mtu ni bundle langu na muda wangu japo story inachosha kuisubiri.

Jama ikitokea ikaendelea naomba atokee msamaria mwema ani-tag ili niendelee kuburidika na mimi.
 
Kweli Kabisa sis ukiona Mtu anaota inatakiwa unapigapiga hata began ilev kumshtua/ kumuamsha hata mtoto pia
Kweli mpendwa hali hyo huwa inatesa sanaaa ya kuita bila jirani kukusikia...nimeota sana hizo.ndoto pindi mdogo ila kwa sasa zimeishaga..yani upo na mtu jirani hakusikii ila anaona unahangaika tuu...ukiwa unajua unamuamsha maana anaweza fia ndotoni aiseee.
 
Huyu BIGI ni very mysterious and dangerious man.
 
Kumbe!! Lol asante sis! Ndio ile mtu amelala mzima kuamka keshakata roho zamanii na alikua haumwi wala nini!!
Hii ilimtokea jirani mmoja mpaka leo kifo cha mwanae hakijulikani sababu!!

Mama mtoto na mwanae Walikua wameenda ukweni kusalimia ilikua weekend mtoto alikua na 2 years. Walienda ijumaa wakasalimia sasa Jumapili mida kama ya saa 9 alasiri wakawa wanataka Kurudi mama mtu keshamuogesha mtoto kamvalisha kabisa mtoto akawa anasinzia sinzia mama mtu akaona ngoja kwanza amuache alale walau hata nusu saa tu akiamka ndio waanze Safari ya kurudi kwa mume sasa kwakua hapakua mbali sana! akamlaza mtoto akasinzia vizuri tu.

Sasa mama mtu subiri mtoto aamke amka nawewee subirii weee subiri naweeee mtoto haamki... mama mtu si ndio kwenda atake kumuamsha ili waanze Safari ya kurudi sasa Lahaulaaahhh tikisa tikisa nawewe mtoto kimyaa hata hashtuki alikua amemlaza kifudifudi si ndio kumgeuza mtoto anashagaa mtoto kakakamaa keshakata kauli zamaniiiiii mwili umeshapoaa hadi kuanza kuwa mweusi tiii! Ndio kuwahi kumnyanyua haraka hapoo Binti mwenyewe alikua mdogo hana uzoefu mtoto mwili ushakua mzitooo badae alishafariki zamanii na alikua mzima kabisa wa afya! Mama mtu anasema alipomyanyua alikua haja kubwa sasa mtoto ni alikabwa alikuaje haijulikani!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…