Ili tuweweseke vizuri usingizini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo tunaendelea kama kawaida majira ya usiku.
Kwao ndio faraja yao wakiona tunalilia next episode, nafsi za watunzi wa JamiiForums ndio zinasuuzika.Simulizi ikiwa nzuri, watunzi wanaweka bandiko kwa kusuasua
Nna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82
Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?
Kwangu inasoma page 106..Nna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82
Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?
Hili la muhimuStori zinakuwaga nzuri ila organization inakuwa ngumu imagine unatrace muendelezo unakata karibu page kumi ndio ukute muendelezo kwa nini stories isiwe inaendelea kwenye post ilipoanzishiwa nashindwaga kumaliza stori kwa ajili hii stori ikiwa inaendelezwa kwenye post moja unaweza hata kuisave webpage kwa ajili ya offline reading unaisave unaendelea kusoma thread nyingine hiyo uliyoi-save unaweza kiuisoma badae wale wanaowekq stori kwenye post moja stori zao wanaturahisishia
Huyu mwandishi kwa nini asingeiandika kwanza mpaka akamaliza ndio akaja kuipost hukuKwangu inasoma page 106..
Tumia browserTatizo tecno
Watu wapo kazini hawataki mchezo!!Nadhani kuna page zinatolewa humu maana tulikuwa tumefika 88 gafla tumerudi 82
Kuna comments huwa zinafutwa. Umekuwa verified vipi kama vitu vidogo tu hujuiNna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82
Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?
Mie niliacha page 89 now zipo 82Nna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82
Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?
Mkuu tangu nijiunge humu sijawahi kupigwa BAN ila naona unanitafuta ubayaKuna comments huwa zinafutwa. Umekuwa verified vipi kama vitu vidogo tu hujui
Mkuu wewe ni KE or ME samahani lakini.Stiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiivuuuuuuuuuuu.....njoooooo!!!
AuMkuu wewe ni KE au ME samahani lakini.
Nashangaa nishafika page 88 naingia tena nakuta ya 82 ,maajabu haya...Nna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82
Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?