Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Ulikuwa unawajua some of them au wote mlikuwa hamjuani?
ni wana tu wale wa kitaa dizaini kuna siku waliniona sasa wakaweka kambi kuniotea maana mama yeyo ana ndg zake pale walimwambia kina fulani walipiga mtu aliekuwa anakuja kusunda mavi kichochoroni asijue kuwa aliepigwa n shemla wake na hayo mavi na ya ndugu yake yapogo. so walivotajwa hao kina fulani nikajikuta nawajua ile ya kuwaonaga make walivkua wananibunda walikua wanasema mtu unasajili lain af una mambo ya kisengerema so ni kama tunajuana ila ile siku sikuwatambua kwa wenge la kipigo na kumbuka walinirushia fuko la puu mgongoni so nipo chapachapa hapo
 
ni wana tu wale wa kitaa dizaini kuna siku waliniona sasa wakaweka kambi kuniotea maana mama yeyo ana ndg zake pale walimwambia kina fulani walipiga mtu aliekuwa anakuja kusunda mavi kichochoroni asijue kuwa aliepigwa n shemla wake na hayo mavi na ya ndugu yake yapogo. so walivotajwa hao kina fulani nikajikuta nawajua ile ya kuwaonaga make walivkua wananibunda walikua wanasema mtu unasajili lain af una mambo ya kisengerema so ni kama tunajuana ila ile siku sikuwatambua kwa wenge la kipigo na kumbuka walinirushia fuko la puu mgongoni so nipo chapachapa hapo
Daah, mzee hii unavyosimulia inachekesha sana... ila pole ndugu yangu.. tunajifunza kwa namna mbali mbali... eti unasajili laini... yaani kusajili laini ndiwe issue?
 
ni wana tu wale wa kitaa dizaini kuna siku waliniona sasa wakaweka kambi kuniotea maana mama yeyo ana ndg zake pale walimwambia kina fulani walipiga mtu aliekuwa anakuja kusunda mavi kichochoroni asijue kuwa aliepigwa n shemla wake na hayo mavi na ya ndugu yake yapogo. so walivotajwa hao kina fulani nikajikuta nawajua ile ya kuwaonaga make walivkua wananibunda walikua wanasema mtu unasajili lain af una mambo ya kisengerema so ni kama tunajuana ila ile siku sikuwatambua kwa wenge la kipigo na kumbuka walinirushia fuko la puu mgongoni so nipo chapachapa hapo
[emoji16][emoji16]
 
Daah, mzee hii unavyosimulia inachekesha sana... ila pole ndugu yangu.. tunajifunza kwa namna mbali mbali... eti unasajili laini... yaani kusajili laini ndiwe issue?
si ndo hapo sasa walikua wanadhani afsa kumbeee
 
Kwa hiyo wewe muanzisha story Steve Mollel unataka ubembelezwe kuendeleza simulizi hii au ?
 
ni wana tu wale wa kitaa dizaini kuna siku waliniona sasa wakaweka kambi kuniotea maana mama yeyo ana ndg zake pale walimwambia kina fulani walipiga mtu aliekuwa anakuja kusunda mavi kichochoroni asijue kuwa aliepigwa n shemla wake na hayo mavi na ya ndugu yake yapogo. so walivotajwa hao kina fulani nikajikuta nawajua ile ya kuwaonaga make walivkua wananibunda walikua wanasema mtu unasajili lain af una mambo ya kisengerema so ni kama tunajuana ila ile siku sikuwatambua kwa wenge la kipigo na kumbuka walinirushia fuko la puu mgongoni so nipo chapachapa hapo
Ila wee jamaa daaaah
 
Mngetuliaga tuu yeye aamue mwenyewe.mbona Simulizi jf kuna nondo zimesukwa Na mletaj anajua kuandika Na hana maringo ashaweka ratiba kabisa.bwana singano.
 
Back
Top Bottom