Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Story tamu sana Steve. Kusubiri muendelezo kwa uchu nayo inaumiza sana sema ww tuma mwendelezo utakapojoskia na ntaisoma tu
 
Hii ndio kwa kitaalamu inaitwa "Disko limeingia mmasai" Jamaa kashachafua hali ya hewa kama alikuwa hataki kuandIka si angesema sa unatusimulia mkasa wa maisha yako nusunusu ili tukuelewe nini bwana BIG
 
Nna wasi wasi kuna kitu hakipo sawa kwenye huu uzi
Mara ya kwanza naingia zilikuwa page 90, nikaingia mara ya nikakuta 86, sa hv nimeingia nakuta zipo 82

Naomba kwa waelewa mniambie tatixo litakuwa nini au simu yangu nfo mbovu?
Usikute hata muendelezo wamepita nao
 
Mkuu ongeza japo moja aisee mwanzoni nilijua ile mifurushi big wanakunya ndani wanaenda kumwaga nikachukulia poa maana ilikua ndo zangu kipindi flan chuga maji kisoda bas ile mifuko laini ya zamani ilikoma. Kwangu ilikua kila ukiingia kunanuka puu mbaya sjui nlikua nawaza nn mbaya zaid akija mama yeyo nae anafanya yake tunamix tunavizia mtaa umepoa tunaenda kutupa nje mbali kidogo sitasahau mtego niliowekewa na kunaswa mpk nikahama saa kumi usiku sjui naenda wapi life la kukosa ela mtu unakuwa nusu mwehu
Daah...
 
Ilikua balaa mkuu nilikimbizwa nikarushiwa fuko nlilotupa mgongoni likanibwaga nikachezea kichapo raia wamechukua simu saa mkanda viatu soks kila kitu na ela kwenye suruali wanalazmisha nikawape laki mbili home au nile mavi yangu tukaenda mpk home nimevaa niko hoi mpk atm enzi hizo karibu na fire kwa mguu wanatimba nyuma mie mbele nikawapa chao wanasema nenda nikianza kwenda wananilamba fimbo aloo nlitoka nduki magetoni kusanya kila kitu vingine nimeacha nikaanza kuhaha usiku kutafta nyumba kummbuka sina simu nimevimba kote aisee zilikua siku tatu chungu ule mtaa sijapita tena

Daah, pole sana... ilikuwa adhabu muafaka. Ila umenichekesha sana.
 
Mwamba ulitisha huo ndo uwanaume[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Uchafu bana, uanaume ndio kuishi na kinyesi ndanbi chako na cha demu wako? kutupa mitaani... msitupe sifa mbaya wengine bana.
 
mkuu huo pia ni uanaume kuvumilia mazingira nukivu si mchezo
Kuna jamaa mmoja walkimkamata na chupa za mokjo na mifuko ya kinyesi ndani kwake wakakenda kumpima akili... sema wewe ulipatiwa kipimo stahiki na raia wenye hasira kali.
 
aisee wale memba siwataji walinipania sana
Kuna jamaa mmoja walkimkamata na chupa za mokjo na mifuko ya kinyesi ndani kwake wakakenda kumpima akili... sema wewe ulipatiwa kipimo stahiki na raia wenye hasira ka
 
Back
Top Bottom