Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Familia yako uliyohama nayo sijaisoma popote kwenye story. Hukuwa na mke na mtoto?
 
Kisa kataja bodaboda? Uandishi wao wala haufanani. Na ana sababu ya gani ya kuja na ID tofauti?
Wengi wasichokijua ni kwamba huyu SteveMollel ndiye UMUGHAKA ni mtu mmoja ID tofauti, hata ukifuatilia aina ya uandishi nadhani ndiyo maana alipomaliza tu kule kwenye utajiri wa Ally Mpemba akalianzisha huku!
 
Mimi nahis mke wa big ni mwanaume kajifanya kama mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…