Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Pamoja na story kuvutia kumsahau mkewe katika story hiyo ilikuwa ni moja ya mapungufu makubwa katika hiyo story, unakumbuka kipindi wapangaji walipoweka kikao na baba mwenye nyumba??-- Wakati huo mke wa Bigi saa zote alikuwa kamkazia macho Mollel, watu tulihoji akilini mke wa Mollel wakati huo alikuwa wapi??, kwa utoaji wa macho wa mke wa Big kwa mollel je mke wa Big alikuwa anatupa agenda ya mapenzi kwa Molel akijua kwamba Mollel alikuwa single ??-- Maswali mengi yalikuwa yanaibuka kutokuwepo mke wake toka mwanzo wa story.

Tukubali kwamba mke wa molel kukosekana mwanzoni mwa story kwa mazingira ya story yalivyo ni mapungufu, nadhani kwa umahiri wake Molel anaweza kulifanyia kazi jambo hilo next time in case the story is to be published.
Fasihi ina fanani wake si lazima story iende utakavyo
 
Fasihi ina fanani wake si lazima story iende utakavyo


Wapi nimesema story iende ninavyotaka??-- kutoa fikra ni sawa na kusema fikra zangu ni sahihi na lazima zifuatwe???, story ni kama chakula na walaji ni kama wasomaji, kwa chakula hicho hicho kila mlaji anaweza kuhitaji, chumvi, mwingine pilipili, limau nk, sasa katika hadithi ninapohojii juu ya uwepo wa mke wa mollel ni sawa na mtu anapohitaji pilipili kwenye chakula, Basi ni juu ya steve/mpiishi kuangalia ama achukue au aache na sio juu yako wewe mlaji kama mimi.
 
Wewe ni mpuuzi bali mjinga, tunapoona mapungufu lengo ni kuifanya hii hadithi ipendeze zaidi, sisi ndio wasomaji au walaji sasa tunapoona chumvi au kiungo fulani hakitoshi basi yatupasa tuemueleze mtunzi ili ajue hayo mapungufu na wakati mwingine anapoandika story ya aina hiyo akumbukee hayo mapungufu ili asiyarudia na hadithi iwe the best.

Isitoshe hadithi hajaimaliza hivyo huo unakuwa ni wakati wa kuangalia hayo mapungufu na ayafanyie kazi ili sehemu ya mwisho ya hadithi iwe nzuri.

Kwa hakika SteveMollel ni mtunzi mzuri na sidhani kama anatosheka na huo umahiri wake kiasi kwamba asihitaji kushauriwa au hata kukosolewa.
Kuna haja gani ya kuniita mjinga ama mpuuzi!!?
au na mimi nirudishe kauli chafu kwako!?
Sema kabla sijakuita mwendawazi
 
Kuna haja gani ya kuniita mjinga ama mpuuzi!!?
au na mimi nirudishe kauli chafu kwako!?
Sema kabla sijakuita mwendawazi


Umwemwita nani "Mjuaji kazini"??, nawe usikasirike kuitwa mjinga na taahira.

Kumbe kutukanwa kunauma, lakini kutukana kutamu au sio??!!
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Mie nimeamua kuisoma tu kama sehemu ya burudani na vinavyofaa ntachukua ila nikikuta pumba naweka pembeni. Ukifuatilia sana details ili upate flow yote itakuchanganya maana mashimo kibao utaboreka.

Mfano kuna sehemu anasema alizoeana na Bembela sababu alikua akipita hapo kwy sehemu yake kupiga msosi wakati akirudi home toka job. Unapata ukakasi inakuaje wakati ana mke.

All in all, kama ni story ya kweli hongera kwake kwa kumbukumbu.

Kama ya kutunga hongera kwake pia kwani kajitolea kutuburudisha kwa kusoma.

Mwisho wa siku hongera kwa wote wanaoleta story hapa maana wanajitolea na pia kazi hiyo ya kuandika si rahisi hata kidogo, inakula muda na fikra ya namna ya kuandika ukizingatia hutujawaomba na hatuwalipi.

HONGERA NA ASANTENI SANA WAANDISHI WOTE bila kujali ni true au wanatunga.
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Tunashukuru kwa kuleft
 
Wapi nimesema story iende ninavyotaka??-- kutoa fikra ni sawa na kusema fikra zangu ni sahihi na lazima zifuatwe???, story ni kama chakula na walaji ni kama wasomaji, kwa chakula hicho hicho kila mlaji anaweza kuhitaji, chumvi, mwingine pilipili, limau nk, sasa katika hadihi ninapohojii juu ya uwepo wa mke wa mollel ni sawa na mtu anapohitaji pilipili kwenye chakula, Basi ni juu ya steve/mpiishi kuangalia ama achukue au aache na sio juu yako wewe mlaji kama mimi.
Acha na chakula, chumvi, pilipili, limao nk

Mke wa Mollel na pilipili wapi na wapi dogo?

Usijipe ufasaha usiouweza

Acha watu wafurahie hadithi, YOU CAN WRITE ABOUT MKE WA MOLLEL KWENYE HADITHI YAKO MBOVU NA YA KIJUAJI
 
Hivi umesoma mpaka mwisho ukaona hayo mambo hayana maana? Unajuaje kama nitakuja kuongelea hiyo setting hapo baadae ikiwa related na matukio ya Jirani?


Kila ninachoandika, every detail, ni muhimu sana kwenye mtiririko wangu. Unaweza usione kwa sasa ila baadae uka-appreciate.


Nyie mnaoburuza aya ndo baadae mnaanza kuongea vitu ambavyo kumbe vilishainishwa huko nyuma in details alafu useme hadithi ina ukakasi.
Mkuu acha kuwajibu, kuwa kama mkurya. Atakayeelewa sawa, wale slow learners wasikupotezee muda. Bora muda wa kujibu hizi comment ukautumia kwenye majukwaa mengine
 
Jinga jingine hili. Unasoma kama kasuku, huwezi kupambanua mambo, unapelekwa tu. Itabidi mfumo wa elimu Tanzania ubadilishwe ili tusiwe na watu wa hovyo kama hawa.
Wewe umegeuka mhariri?
 
Back
Top Bottom