huku kwetu
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 146
- 195
Mm korogwe bush nipoKama kuna mtu yuko Tanga hasa maeneo ya handeni vijijini, korogwe vijijini na Kule kwa wazigua jamani naomba aje inbox.
Nina shida imenibana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm korogwe bush nipoKama kuna mtu yuko Tanga hasa maeneo ya handeni vijijini, korogwe vijijini na Kule kwa wazigua jamani naomba aje inbox.
Nina shida imenibana
Sasa huo mda anaojibu si bora ashushe episode nyingineHpn dada....hili halikubaliki lzm ajibu maswal ya wanna no way ya kukwepa maswali hapa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
nilikata tamaa uliposema tag zangu huwa huzioni,ila naanza rasmi kukutag kipenziBeb mbna ujanitag jmn leo ndo nmepta
Na alitolewaje tolewaje pale kibarazani na big aliingiaje ndaniAcha upuuz mzee ,mwambie jamaaa enu bwana moleli Mbna hajaeleza mtoto wa bigi alizikwa wapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwenzake mwingine JAMES DELICIOUS ,nxie watu wa upinde MJUE MNAZINGUA SANA!Na alitolewaje tolewaje pale kibarazani na big aliingiaje ndani
sku ingine jitahidi uwe unakuLa chakula cha kutosha ndo uanze kupapatikia uBo#0 la sivyo utakufa ukiwa umebinuliWa juu juuMwenzake mwingine JAMES DELICIOUS ,nxie watu wa upinde MJUE MNAZINGUA SANA!
Wewe upo wap?Hizi story ndio zinafanya wengine tuwaze sana kuishi Bongo. Ni kama kila sehemu kuna mauza uza tu. Sijuagi kama ni kweli au sound tu za wabongo, but I don't wish to find out either. Watanzania ni watu noma sana.
Yeah same to meIngekuwa mm stor ulipofikia ningeshahama
Usikute kitendo cha kuamua kuishi nje napo ni uamuzi uliotokana na kurogwa...
Wewe upo wap?
Hakika ataliwa vibaya Sana anatafuta shobo hapasku ingine jitahidi uwe unakuLa chakula cha kutosha ndo uanze kupapatikia uBo#0 la sivyo utakufa ukiwa umebinuliWa juu juu
Kabsa kijana ana shobo saNa afu mikito haiweziHakika ataliwa vibaya Sana anatafuta shobo hapa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahahahahah shangazi yake mmemuacha au mnarud naeNiko na Bembela hapa tunatoka Tanga
"Unataka"Haya ndio tunayataka ufafanuz Kama huu
Mpk hapa tuko sawa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app