Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Kweli eeehh!!
Halafu wachawi wanapenda sana mimbaaaa ..vitoto vichanga na watoto wa kiumee wakwanzaa wanaita lango wenyewe!!
Hio ya mke wa Steve kuota imenikumbusha kipindi fulani nilikua nalala na mjamzito.... huyo ndugu yanguu...alikua anaota ota anaweweseka sana ndotoni namsikia kama analalamika kama anatoa sauti fulani ambayo nikiyasikiliza vizuri manenoo siyaelewi anatamka maneno gani!
kwakua Kwakua ni mjamzito namuacha alale nisimkatishe usingizi wake heee akiamka namuuliza mbona kuna muda ulikua umelala nilisikia hivi na vilee nayeye anakumbuka anasema alikua anaota na ndotoni aliwaona watu fulani ila walikua wanamfuata kishari Hivi sasa ile kukimbia ili kuepuka kupambana nao ndio akawa kama analalamika kwa sauti kubwaaa ya kuomba msaaada kwangu nilieko pembeni yake yeye anaona kama ananiita kwa nguvu sana ilhali pia anaona sisikii chochote so anakua a anabaki kuhangaika Huku mimi nasikia tu mtu anatoa sauti fulani ila matamshi siyasikii vizuri!

Sure,mtoto wa kiume huwa anakuwa na vita kubwa sana na ulimwengu wa giza,coz ndo huwa chanzo cha mafanikio au laana kwa familia nzima.Familia zenye watoto wa kwanza wa kiume nyingi ila sio zote ukijaribu kufatilia utagundua watoto wa kiume wengi aidha ni walevi au watu wa ajabu ajabu hiyo ni vita ambayo wachawi huwa wanapigana makusudi na familia hiyo coz wachawi huwa wana uwezo wa kuona future ya mtu
 
Mimi hua nashindwa kuelewa what is the connection ya mdada wa kazi kumdhuru mtoto wa boss wake ikiwa umemtoa sehemu hata hamuhusiani kwa undugu, yan haya mambo yanatisha, sijui kama ningekua na mambo ya wadada, mi nilivopata mauzauza kidgo walivosogea umri nikawa nikitoka job nawafwata shule, sikulipa school bus mana sikua mbali na shule yao, sasa ndio nawaza wapi napata mwingine

Hawa ma housegirl wengi huwa wanakuwa ma agent wa kuzimu,yaani sio wafanyakazi kama wanavyodai wao ila huwa wanapandikizwa na kuzimu(wachawi)kwa mission maalumu duniani mara nyingi huwa ni kuharibu ndoa na familia kwa ujumla..

Nashauri mtu ashirikishe sana Mungu kabla ya kutafta mdada wa kazi,coz wengi ni majanga.
 
Sure,mtoto wa kiume huwa anakuwa na vita kubwa sana na ulimwengu wa giza,coz ndo huwa chanzo cha mafanikio au laana kwa familia nzima.Familia zenye watoto wa kwanza wa kiume nyingi ila sio zote ukijaribu kufatilia utagundua watoto wa kiume wengi aidha ni walevi au watu wa ajabu ajabu hiyo ni vita ambayo wachawi huwa wanapigana makusudi na familia hiyo coz wachawi huwa wana uwezo wa kuona future ya mtu

Ni kweli Kabisa mkuu nina experience nahili!! wachawi nyokk sana yani!
 
Hakika
Hawa ma housegirl wengi huwa wanakuwa ma agent wa kuzimu,yaani sio wafanyakazi kama wanavyodai wao ila huwa wanapandikizwa na kuzimu(wachawi)kwa mission maalumu duniani mara nyingi huwa ni kuharibu ndoa na familia kwa ujumla..

Nashauri mtu ashirikishe sana Mungu kabla ya kutafta mdada wa kazi,coz wengi ni majanga.
 
Sure,mtoto wa kiume huwa anakuwa na vita kubwa sana na ulimwengu wa giza,coz ndo huwa chanzo cha mafanikio au laana kwa familia nzima.Familia zenye watoto wa kwanza wa kiume nyingi ila sio zote ukijaribu kufatilia utagundua watoto wa kiume wengi aidha ni walevi au watu wa ajabu ajabu hiyo ni vita ambayo wachawi huwa wanapigana makusudi na familia hiyo coz wachawi huwa wana uwezo wa kuona future ya mtu
Usitafute wa kumpa lawama,,ulevi wa mtu ni matatizo yake mwenyewe,,
Wala usihushe yeyote.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom