Jirani yangu

Jirani yangu

Unampenda na yeye Hakupendi, fanya mambo yako achana naye, sifa ya mwanamke anayejielewa ni kungoja atongozwe, sio kujitongozesha.
Si mpaka awe na sifa za kutongozwa, sio kila ke upata bahati hiyo, wengine mpaka wanaenda kwa Mwamposa ili kuona kama watapata hiyo bahati.Na wengine utamani kama wangekuwa me ili kuhepuka kadhia hiyo.
 
Siuseme tu ushagawa Kwa mume wa mtu Sasa unajiskia vibaya?Itoshe tu kusema mbususu ni yako hapangiwi wa kumpa.Ova
 
Kwahiyo unalazimisha akutongoze? hajakwambia anakupenda tulia acha wenge ni machepere yako tu ndo yanakufanya ujiangushe angushe kwenye boksi na utaliwa kimasihara
Haya Sasa Leo kafanya the same thing alikaa njee ya geiti kwenye gari lake akasubiria kuona namsubiria nani alipona ni fundi ndio akaenda zake
 
Hapo inaonekana jirani hata akitaka utumbo alie na ndizi anapewa tu.
 
Back
Top Bottom