Jitahidi manukato na marashi yasiwe kero kwa wengine

Duuuuh ! Wengine Huwa majini hawapendi
 
Ila manukato mazuri hayawezi kumkera mwingine kuna mpaka manukato kwa ajili ya maiti na yanauzwa kwenye maduka ya bidhaa za kawaida tu ,usipo kuwa makini ni rahisi mno kuyanunua.
Hatari
 
Ila manukato mazuri hayawezi kumkera mwingine kuna mpaka manukato kwa ajili ya maiti na yanauzwa kwenye maduka ya bidhaa za kawaida tu ,usipo kuwa makini ni rahisi mno kuyanunua.
kuna zingine ziko poa. kuna mmoja leo kaja ofisini ni first year aisee mtoto ananukia kale kaharufu kama umeingia benki, nilitaka kumuuliza ni gani hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…