Jitihada za magaidi wa Hamas kuhamasisha kutokula migahawa ya Mc Donald zaangukia pua, Waarabu wanaendelea kula bata

Jitihada za magaidi wa Hamas kuhamasisha kutokula migahawa ya Mc Donald zaangukia pua, Waarabu wanaendelea kula bata

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Mcdonald ni mgahawa wa fast food mkubwa zaidi duniani

Katika mashambulizi ya October 7 Israel ilipovamiwa na Hamas, Mcdonald walitoa vyakula bure kwa wahanga.

Hali hii ilipelekea magaidi kuhamasisha kugomea kununua vyakula vya Mc Donald,

Chuki hizo hazina nafasi kwa mamilioni ya waarabu wanaojitambua,

  • McDonald anachangia kodi
  • Mcdonald inatoa ajira
  • Mcdonald wana huduma safi

 
Bado hamjasema kuna huyu keshapoteza usd 11 billion for his support on israel na tunaendelea na campaign yetu.

Screenshot_20231208-164334_Chrome.jpg
 
Asante kwa Bandiko lenye kuwakebehi watu Mkuu .

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hebrew Sources :

Al Qassam launched a new type of missile towards Tel Aviv
 
Mcdonald ni mgahawa wa fast food mkubwa zaidi duniani

Katika mashambulizi ya October 7 Israel ilipovamiwa na Hamas, Mcdonald walitoa vyakula bure kwa wahanga.

Hali hii ilipelekea magaidi kuhamasisha kugomea kununua vyakula vya Mc Donald,

Chuki hizo hazina nafasi kwa mamilioni ya waarabu wanaojitambua,

  • McDonald anachangia kodi
  • Mcdonald inatoa ajira
  • Mcdonald wana huduma safi

View attachment 2836588
Halafu hizi propaganda zinakusaidia wewe na familia yako
 
Wabongo mko gizani..,.fatilieni maswala then mje muandike propaganda zenu.....kama ushabiki endeleeni na ushabiki.
 
Back
Top Bottom