Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 450
- 890
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo mkaa una nguvu gani kiongozi,na hizo ndoto kama umelogwa zitakuwaje watu wasije piga makele usiku.Eleza vizuri
Kama umerogwa lini sasa utaona?. Nilisharogwa kitambo sana huko miaka ya 2000,2010,2018 huko. Na aliekuwa ananiloga 2000 alifariki. 2010 alifariki. Wengine na wengine wote nitawaona? Au huyo tu wa hapo hapo?
Ha ha ha basi achana nayo tu ndugu
Kwakweli acha tu yanipite pembeni. My solid foundation is in Christ alone!!!
Nimesahau cha ajabu nimemuona Mshana ananilogaHabari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sanna
KUWARAHISISHIA WALIOKUWA NA MAGUMU BILA KUMUASI MUNGU!!!Nakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
Mkuu natafuta jini la kubashiri matokeo ya mpira kama unayo!Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sanna
Mkuu natafuta jini la kubashiri matokeo ya mpira kama unayo!
KUWARAHISISHIA WALIOKUWA NA MAGUMU BILA KUMUASI MUNGU!!!
Kuna mungu unayemuamini wewe anayeendana sawa barabara kabisa na uchawi.
Na Kuna MUNGU aliyekataza shirki. Kuna Mambo mengine waislamu tunajitakia tuonekane wote ni watu wahovyo[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]..
Leo najalibu
Mkaa una nguvu Sana zaidi ya unavyofikiria. Unarudisha hata mke aloe kuacha pia unatoa nuksiKwa hiyo mkaa una nguvu gani kiongozi,na hizo ndoto kama umelogwa zitakuwaje watu wasije piga makele usiku.Eleza vizuri
Huo udi unausaga?Nakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
Huo udi unausaga?
Wewe Sasa ndio unataka kutulogaHabari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha
Asanteni sanna
Wengi watakataa ila ndio ukweliHivi wewe ni muumini gani usioelewa tofati ya uchawi na shirki sababu uchawi ni lazima uombe baraka za mungu pia
Weeee bwana weeee hv kweli?Mkaa una nguvu Sana zaidi ya unavyofikiria. Unarudisha hata mke aloe kuacha pia unatoa nuksi
Ndio maàna maeneo yenye waislam wengi hayaishi uchawi na ushikina
Moto unawashwa wapi,ndotoni au?Ubani kazi yake ni kuondoa harufu mbaya na majini wwzuri hawapendi harufu mbaya
Mkaa kazi yake ni kuwasha moto
Hakuna kitu cha ajabu