Jitu la miraba 12 kutoka Burkina Faso lavunja rekodi ya dunia kubeba chuma kilo 231

Jitu la miraba 12 kutoka Burkina Faso lavunja rekodi ya dunia kubeba chuma kilo 231

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
FB_IMG_17274969754500853.jpg

Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.

Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi ya dunia wakati wa mashindano ya Dunia ya kuinua Magogo 2024 (WLLC)yaliyofanyika Birmingham, Uingereza.

Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
 
Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
Wanayazungumziaje maumbile yake mengine
 
View attachment 3109124
Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.

Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi ya dunia wakati wa mashindano ya Dunia ya kuinua Magogo 2024 (WLLC)yaliyofanyika Birmingham, Uingereza.

Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
Kilo 230 tu basi bongo Kuna watu kibao wangevunja rekodi sema wamekosa platform na exposure
 
Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.
Naona umetaja vyakula vya Tukuyu😅.
Sasa hadi migagi nayo? Atakuwa mbene huyu au ngambako
 
Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.
Ongeza na mdojolela, chikandi, mangatungu, fwiwi, ufudu, makande, matoke, togwa, mafyurisi, mapeasi, mawungu, makururu, mageke, mbulika, viyenje na madude kama haya.
 
View attachment 3109124
Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.

Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi ya dunia wakati wa mashindano ya Dunia ya kuinua Magogo 2024 (WLLC)yaliyofanyika Birmingham, Uingereza.

Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
Uzeeni atapata shida ya mgongo na nyonga asipostaafu mapema huo mchezo
 
Back
Top Bottom