KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.Sawa Sawa
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Ibambangulu, unaambiwa akiingia kwenye nyumba anaanza kutuna na kuvimba hadi aijaze nyumba yote kwa mwili wake.Mwamba mpana kama kibanda cha m pesa
Anakula ndoo ngapi za chakulaRaia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.
P didy alimuona?Kuna jamaa alikuwa anaitwa Ibambangulu, unaambiwa akiingia kwenye nyumba anaanza kutuna na kuvimba hadi aijaze nyumba yote kwa mwili wake.
Ngoja niwaulize wapishi wake, jamaa anakula kirikuu ngapi za ugaliAnakula ndoo ngapi za chakula
KwannKuna maeneo Brother Love Pdidy anayaogopa aisee
Wanayazungumziaje maumbile yake mengineMnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
Mboga zake laini laini, wanamuziki na wapenda kuuza suraKwann
Duh....Wanayazungumziaje maumbile yake mengine
Kilo 230 tu basi bongo Kuna watu kibao wangevunja rekodi sema wamekosa platform na exposureView attachment 3109124
Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.
Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi ya dunia wakati wa mashindano ya Dunia ya kuinua Magogo 2024 (WLLC)yaliyofanyika Birmingham, Uingereza.
Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.
Naona umetaja vyakula vya Tukuyu😅.Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.
Ww jamaa unatokea mbeya sehemu gan?Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.
Ongeza na mdojolela, chikandi, mangatungu, fwiwi, ufudu, makande, matoke, togwa, mafyurisi, mapeasi, mawungu, makururu, mageke, mbulika, viyenje na madude kama haya.Hapo limekula migagi, numbu, vitindi, mabangayeye, makusu, makatapera, mbula, nguniani, kisyesye, kifuge, kipome, mangubwisya, na lukama ameweza kuwa hivyo, bado hajaanza kula vyakula vya kimagharibi vyenyewe majina ya swaga za mamtoni.
Uzeeni atapata shida ya mgongo na nyonga asipostaafu mapema huo mchezoView attachment 3109124
Raia wa Burkina Faso, Iron Biby, majina halisi, Cheick Ahmed al-Hassan Sanou aweka rekodi ya mtu mwenye nguvu zaidi duniani 2024.
Hii ni baada ya Iron Biby kubeba chuma kilo 231 na kuvunja rekodi ya dunia wakati wa mashindano ya Dunia ya kuinua Magogo 2024 (WLLC)yaliyofanyika Birmingham, Uingereza.
Mnyanyuaji huyo bora zaidi katika historia na pia mtu mwenye mikono kubwa zaidi, aliwaacha wengi vinywa wazi licha ya kushiriki kama mgeni maalum katika mashindano hayo kufuatia ubingwa wake wa awali wa mashindano ya kubeba chuma duniani 2023, ambapo alibeba kilo 230.