Jitu zima linatoka Congo linakuja kupaki Basi Jangwani Ilala Dar es Salaam halafu tena bila aibu linajisifia kabisa mbele ya Media

Anaitwa Shahidi wa Yehova...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mujarabu kabisa!
 
Achananaaaanar mwanakwayaaa kabashirii imegomaaaa anaonaaapakukimbilia

Shameempwaaawangui



Mwanakyaya tena...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mdomo wako tumeuzoea kwa kutokwa na mineno miyeusi.

Kwa majibu haya Mkuu uliompa jamaa bila shaka utaanza kuhubiri injiri tu badala ya matusi.

Hah hah ah


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…