demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Anaitwa Shahidi wa Yehova...[emoji23][emoji23][emoji23]Leo ndo nimedhihilisha kuwa Simba ni butuuuuuuuuuuuuuuu, hafu ni timu mbovuuuuuuuu, wanshindwaje kufunga mda wote wako kwenye goli la mpinzani wao😡😡😡 kweli huyu kocha wa simba naanza kuwa na wasiwasi nae huyu anatoka Mikindani sio Belgium😡